Swali wanalolipenda wanawake ikiwa namba ngeni

Swali wanalolipenda wanawake ikiwa namba ngeni

Ni swali la kawaida...

Hakikisha huko unapotoa number unamwambi huyo anayekupa number endapo utaulizwa swali kama hilo utasema umeitoe kwake...



Cc: mahondaw
 
Natumai wazima kabisaaa,,

Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,

Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??

Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!

Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????

Uzi tayari

Ninavyojua mabinti karibia wote kwa sasa ni wafanyabiashara kama sio mwili basi kuna bidhaa nyingine anauza, sioni kama kuna umuhim wa kuniuliza nani kanipa namba wakati mm ni mteja mtarajiwa.
 
Nikipewa namba ya binti, naanza na kutuma salio kama 300k ili kuepuka maswali kama hayo. Ukishusha mzigo wa kutosha mabinti wengi wanakosa hata nguvu ya kuuliza maswali
Mtu kama huyu unakuta analala na kula kwa Mjomba, lakini hapa anaongelea kutuma 300K tu kiholela holela. Ujana changamoto sana.
 
Natumai wazima kabisaaa,,

Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,

Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??

Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!

Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????

Uzi tayari

Yote yapo hivyo hivyo? Yanajionaje sijui, mtu wa hivyo mie simgafuti tena
 
Natumai wazima kabisaaa,,

Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,

Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??

Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!

Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????

Uzi tayari
Hua wanataka kujihami asije akawa kakupa mchepuko wake ,umtest
 
Samahani Mkuu Umeniacha Kwenye Hizi Herufi ww? Na nn?
Ulikuwa Unazungumzia Kitu Gani Hapo?
 
hapo ndipo m/me na mindevu yako unaoneka mtoto kwa dem wa sec,,,acheni uzemb w/me wenzang umemuelew dem mfuat personal chukua no,,hyo ndo xoltn ya kukimbia hlo xwal,,,tna utaenjoy convo yenu xwaaaaaaffiiiiiiii had Kingi
 
Huyo atakua changudoa. Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kuulizwa mambo akajib namba yangu kakupa nani.
 
Bro wewe mtu akikutumia msg na humjui hutataka kujiridhisha mkuu, na wala hutapenda kumjua anaegawa namba yako kiboya boya bila ruhusa yako?

Tatizo sio kumjua,shida inakuja hakuna ulazima wa kuuliza namba umepata wapi ama kakupa nani,
Ila kumjua lazima uulize ni nani unaeongea nae ama kuchati nae inatosha sana,then ndo shida ifuate
 
Back
Top Bottom