Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 478
- 962
Natumai wazima kabisaaa.
Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,
Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??
Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!
Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????
Uzi tayari
Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,
Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??
Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!
Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????
Uzi tayari