Swali wanalolipenda wanawake ikiwa namba ngeni

Gai da seboga

JF-Expert Member
Apr 19, 2019
478
962
Natumai wazima kabisaaa.

Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,

Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??

Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!

Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????

Uzi tayari
 
Bro wewe mtu akikutumia msg na humjui hutataka kujiridhisha mkuu, na wala hutapenda kumjua anaegawa namba yako kiboya boya bila ruhusa yako?
Kujiridhisha n kumuuliza mtu ww nan! Nimjue kisha ndio tuendelee na mazungumzoo.... Kujua nan ametoa namba halina mantiki yoyote, mana huyo alotoa namba mpk akawa nayo means tunawasiliana.
 
Natumai wazima kabisaaa,,

Kumekuwa na tabia hii kwa wanawake wengi sana, inapotokea umepata namba labda ya classmate wako wa kike, rafiki unaemjua, au demu unataka kupiga sound,,,

Yaani ukishaanza mtumia meseji mambo hatojibu salamu bali atakubandika swaali '' Namba yangu amekupa nani??!??

Hili swali kiukwel linapunguza hamasa yote ya kumtafuta na linakera,, ww nani namba yko isitolewe!! At least uulize nani ww shida yako nn.. Kulikoo kutaka kumjua alonipa namba ili ufanyeje sasa!!!!

Wangapi wamekutana hiki katabia na wanakichukuliaje????

Uzi tayari
Kimsingi wanakosea sana..kama namba yake anaona haipaswi kutumiwa na watu wengine basi asiwe na simu...mbona hata sisi wakiume tunapata sana hizo namba ngeni...ila cha msingi ni kujua ww nani na shida yako nini..full stop
 
Back
Top Bottom