SWALI: Posts Za Vyuo 2015/16 za TCU

SWALI: Posts Za Vyuo 2015/16 za TCU

silent_soldier

Senior Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
193
Reaction score
62
Naomba kujua lini TCU watapanga vyuo?

Na pia naomba kujua Pia kama deadline ya KuApply imetoka?
 
Kijana,deadline ya application kule TCU huwa haitoki...inakuwa set tayari na hata kwenye kitabu chao ipo(Ambayo ni 31st August 2015 kama sijakosea)

Pia,post zitapangwa pale selection zitakapokamilika..Ni mapema sana kujua/kuulizia hilo maana hata deadline bado
 
Ndiyo. Ila kama hukuwa na maandalizi ya awali ahirisha haki mwakani kwani loan board walishafunga maombi otherwise una na uhakika wa kujilipia gharama za chuo
 
Je,unaweza ukajigaramia mwenyewe kwa first year alafu mwakani uka upply mkopo
 
Back
Top Bottom