Swali moja kwa moja kwenda NEC

Swali moja kwa moja kwenda NEC

Pascal Ndege

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2012
Posts
2,977
Reaction score
1,900
'Baada ya kupiga Kura unatuambia tuondoke wakati baaada ya kuhesabu msimamizi anatakiwa kutoka nje na kutangaza matokeo, Je atawatangazia akina nani wakati hakuna watu??????
 
Nec wanatakiwa kufanya kazi kwa mujibu wa sheria zilizopo. waache ubabaishaji la sivyo. bensouda fatou atakuwa anawasubiri kuwararua.
 
Pia tunatakiwa kusubiri matokeo ndio tuondoke tukishajua tumepata ngapi. Sasa hii ya kusema muondoke sijui inamaanisha nini. Nakumbuka huku arusha tulilinda kura kila anaekuja tunamsachi hata awe kama kiongozi tukakamata kura zikiwa kwenye hotpot ya chakula. Hao wanaosema tupndoke kwani wao wana hofu gani?
 
Sawa na hicho ndio unachokitaka poa utaweka historia kubwa sio mbaya inonyesha mtakua wengi uchaguzi huutakaoweka historia.
 
'Baada ya kupiga Kura unatuambia tuondoke wakati baaada ya kuhesabu msimamizi anatakiwa kutoka nje na kutangaza matokeo, Je atawatangazia akina nani wakati hakuna watu??????



Nadhani walikuwa wanaogopa Kauli ya Kulinda Kura!
Mtu mmoja kapendekezi liwe Kusubiri matokeo Mita Mia Mbili labda hili Jaji Lubuva tutaelewana naye!


Suala la msingi siku hiyo Wapiga kura wanatakiwa kuacha ushabiki na kutokuvaa aina ya nguo inayoashiria uanachama wa chama chochote.

Nadhani hata UKAWA wanatakiwa kuanza kutoa elimu hii pamoja na elimu ya upigaji kura kwa kuwa na mfano wa karatasi ya upigaji kura.



CC. JJ Mnyika Tumaini Makene LUMUMBA
 
Last edited by a moderator:
Ni kwenda na chupa ya maji, kuvote afu tunasubiri matokeo haendi mtu nyumbani
 
Luwasa anajua kaishashindwa...sasa nyie kaeni vituoni mje mkione cha mtema kuni...mtazalishwa bila kubeba mimba nawaambieni....
 
Back
Top Bottom