Inategemea ni wa chama gani!
Vyama vinatofautiana ktk staili ya ushawishi, mfano:
1. kusafirisha wasikilizaji kwenye kampeni.
2. kutoa rushwa kwa wasikilizaji wa kampeni.
3. Kuonga wasanii ili wasikilizaji waje kwa wingi.
4. kuwa na wapambe kibao wa kuporomosha matusi kabla ya mgombea kunadi sera.
5. nk.
Iko wazi kuwa mikutano ya CCM inaratibiwa kwa gharama kubwa sana kulinganisha na ya CHADEMA/UKAWA ingawa Unaweza kuta wahudhuriaji ni wengi zaidi kwa UKAWA!
Upande mmoja watu wanaenda kwa hiari wakati upande mwingine ni either wanahongwa, wqnasombwa kwa malori na ma-uda au wanafuata kuwaona kina Diamond and the like!???
Inategemea ni wa chama gani!
Vyama vinatofautiana ktk staili ya ushawishi, mfano:
1. kusafirisha wasikilizaji kwenye kampeni.
2. kutoa rushwa kwa wasikilizaji wa kampeni.
3. Kuonga wasanii ili wasikilizaji waje kwa wingi.
4. kuwa na wapambe kibao wa kuporomosha matusi kabla ya mgombea kunadi sera.
5. nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.