SWALI: Mikutano ya CHADEMA mkoa wa Arusha inafanyikia wapi siku hizi??

Mandla Jr.

JF-Expert Member
Dec 15, 2013
3,099
630
Nimerudi tena Arusha nikitokea Bungeni Dodoma. Swali langu ni wapi inapofanyikia mikutano/maandamano ya chadema mkoani Arusha??

Mandla.
 
Nimefika viwanja vya NMC nikakuta kuna soko la mitumba. Nikaenda kule soweto nimekuta kuna uzio mkubwa na nyumba zimevunjwa.

Watu wa cdm wapi mnakutana wakuu??
 
Kwani ndovu anapokuja huko next week unaenda wapi kumsikiliza?
 
Nimefika viwanja vya NMC nikakuta kuna soko la mitumba. Nikaenda kule soweto nimekuta kuna uzio mkubwa na nyumba zimevunjwa.

Watu wa cdm wapi mnakutana wakuu??
Jifunze kuandika kwanza kabla ya kisebengo
 
Mkuu huyu Mandljr anapima uji kwa ulimi mnafki mkubwa.

Kinana na Nape wamempa kazi ya kuandaa Gongo toka matejoo.
Kwani slaa hatengenezi tena gongo mkuu,nakumbuka alitangaza kuwa ataruhusu gongo inakuwaje tena ihamie kwa nape.
 
Nimerudi tena Arusha nikitokea Bungeni Dodoma. Swali langu ni wapi inapofanyikia mikutano/maandamano ya chadema mkoani Arusha??

Mandla.
kwa uelewa waliokuwanao wanachadema Arusha hatuitaji mikutano tunauelewa wa kutosha kuhusu chadema tunasubiri tu,mikutano ya kampeni ya 2015
 
Hapa Arusha lema anakimbizwa mbaya Sana na Ccm mwanzo alikuwa nafanyia viwanja vya shule ya ngarenaro baada ya kushindwa kujaza amekuja kijiwe cha kahawa kilombero sasa
 
Hapa Arusha lema anakimbizwa mbaya Sana na Ccm mwanzo alikuwa nafanyia viwanja vya shule ya ngarenaro baada ya kushindwa kujaza amekuja kijiwe cha kahawa kilombero sasa
Kweli kabisa Mkuu. Sasa tunasubiri uchaguzi tu. Ili tuondoe hii balaa mjini kwetu.
 
Mkuu huyu Mandljr anapima uji kwa ulimi mnafki mkubwa.

Kinana na Nape wamempa kazi ya kuandaa Gongo toka matejoo.
Aliyewapa ahadi ya kuhalalisha GONGO iwapo mtampa kura za kutosha ni BABU SLAA acha kuchanganya mambo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…