Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
Nimerudi tena Arusha nikitokea Bungeni Dodoma. Swali langu ni wapi inapofanyikia mikutano/maandamano ya chadema mkoani Arusha??
Mandla.
Mandla.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jifunze kuandika kwanza kabla ya kisebengoNimefika viwanja vya NMC nikakuta kuna soko la mitumba. Nikaenda kule soweto nimekuta kuna uzio mkubwa na nyumba zimevunjwa.
Watu wa cdm wapi mnakutana wakuu??
Zaidi inafanyikia nyumbani kwa mzee mtei shambani kwake tengeru.Nimerudi tena Arusha nikitokea Bungeni Dodoma. Swali langu ni wapi inapofanyikia mikutano/maandamano ya chadema mkoani Arusha??
Mandla.
Kwani ndovu anapokuja huko next week unaenda wapi kumsikiliza?
Picha zinaongea make kusoma shida kwako ona hata picha.Kwani ndovu anapokuja huko next week unaenda wapi kumsikiliza?
Kwani slaa hatengenezi tena gongo mkuu,nakumbuka alitangaza kuwa ataruhusu gongo inakuwaje tena ihamie kwa nape.Mkuu huyu Mandljr anapima uji kwa ulimi mnafki mkubwa.
Kinana na Nape wamempa kazi ya kuandaa Gongo toka matejoo.
Kwani slaa hatengenezi tena gongo mkuu,nakumbuka alitangaza kuwa ataruhusu gongo inakuwaje tena ihamie kwa nape.
Picha zinaongea make kusoma shida kwako ona hata picha.
Kwani ndovu anapokuja huko next week unaenda wapi kumsikiliza?
Zaidi inafanyikia nyumbani kwa mzee mtei shambani kwake tengeru.
kwa uelewa waliokuwanao wanachadema Arusha hatuitaji mikutano tunauelewa wa kutosha kuhusu chadema tunasubiri tu,mikutano ya kampeni ya 2015Nimerudi tena Arusha nikitokea Bungeni Dodoma. Swali langu ni wapi inapofanyikia mikutano/maandamano ya chadema mkoani Arusha??
Mandla.
Aliepiga picha hii kafanya kosa kubwa sana, kaonyesha na zile fuso zetu za kusomba watu, mshenz! kabisa katuharibia propaganda za chama chetu.Picha zinaongea make kusoma shida kwako ona hata picha.
Kweli kabisa Mkuu. Sasa tunasubiri uchaguzi tu. Ili tuondoe hii balaa mjini kwetu.Hapa Arusha lema anakimbizwa mbaya Sana na Ccm mwanzo alikuwa nafanyia viwanja vya shule ya ngarenaro baada ya kushindwa kujaza amekuja kijiwe cha kahawa kilombero sasa
Aliyewapa ahadi ya kuhalalisha GONGO iwapo mtampa kura za kutosha ni BABU SLAA acha kuchanganya mambo.Mkuu huyu Mandljr anapima uji kwa ulimi mnafki mkubwa.
Kinana na Nape wamempa kazi ya kuandaa Gongo toka matejoo.