Swali linataka nini!

Swali linataka nini!

MTU NI AFYA"thibitisha kauli hii kwa mifano kuntu,swali linataka nini wakuu

swali linataka wewe kuwathibitishia tu kuwa huwa unapata choo (unakunya) kila siku na kwa wakati na kama hunyi ina maana huna afya!
 
faida za kuwa na afya nzuri...ila sasa hapo ningekuwa mimi ningeipinga hiyo statementi halafu ndio nianze kushusha points.
 
faida za kuwa na afya nzuri...ila sasa hapo ningekuwa mimi ningeipinga hiyo statementi halafu ndio nianze kushusha points.



mkuu huyo mwanafunzi wangu hapo juu hapaswi kupinga hyo kauli maana kaambiwa thibitisha na sio jadili , kujadili ndo unaweza pinga au kubali hapo ni kuonyesha kwa ninimtu anapaswa awe na afya bora kana wachangiaji walivyomshauri aonyeshe umuhimu wa afya bora
 
Elezea faida kwa mtu anapokua na afya nzuri mfano:-
_kufanya kazi
_kutoa maamuzi sahihi
_kumudu majukum yake nk
 
Sijalipenda hili swali hata kidogo...linakiuka haki za binadamu...
 
Back
Top Bottom