king suleman
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 1,749
- 1,151
Habari wana JF, mie nna swali inawezekani limeshawahi kujitokeza ila me toka nimeijui JF cjawah lisikia ni hivi nianze kwa wadada kipi bora kati ya haya kuzunguka sana na bahasha kutafuta kazi bila mafanikio lakini huna shida kwenye maswala ya mahusiano yan unapendwa na kila mwanaume yan hadi unadeka ila kaz ndo mgogoro au uwe na kazi nzuri ya kipato kizuri ila kila mwanaume unae mpata hata wiki hamalizi kila unaea kuahid ndo anapoterea mitini umri unasongo bila ndoa hata mtoto kati ya hayo ma2 kipi bora,,,,,,side B je kwa mwanaume kipi bora kuwa na pesa sana na miradi ya kutosha alaf da kibamia au kua maskini kupita kiasi yan maskini kwel kwel lakini dude cm 15 long and 4 cm width ila huna zali na pesa kabisa msibaz kwako mil yan kipi bora,,,,,,