sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Nashukuru umenisemea mawazo yangu, miezi 6 ya kuachana afu anaitwa room anaenda?...khaaa huyo kuna kitu anakihitaji kabisa...hiyo kulia ni njia ya kumfanya S alainike ili amwingize kwenye mstari.....Mmh haya bwana wewe na yeye ndo wasemaji wa mwisho, hv mchuniane kwa 6 months thn umuite geto aje kirahs tu mkuu, may be she want somethng frm you....