mwanadome
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,912
- 5,255
Mkuu nilivyo ona huu uzi kua umetoka kwa mwanakijiji nimeusoma mbiombio,nakawa siamini kua haya yameandikwa nae,ikabidi niangalie muda duu kumbe ni zamazileee.yeye siku hizi yuko zama mpyaa.amebakia kule fb na matangazo yake ya serikali kugawa kondom 21m.wazungu walipo sema time will tell waliona mbali sanaa.Mzee Mwanakijiji unachungulia tu, changia mkuu!!!