Swali la uchokozi, lakini kweli: Nani aliruhusu mifugo kuzurura nchi nzima?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,209
th.jpg


Wakoloni pamoja na ubaya wao, walikuwa wanaona mbali.

Kutokana na tabia za watu walitenga wazi wazi, mikoa ya wafugaji na mikoa ya wakulima.
Na wakaenda mbali kuwa sehemu nyingine mifugo isikanyage asilani.

Siye kwa sababu nzuri tu za kuwaridhisha wapiga kura, zile imaginary boundaries zikavunjwa kabisa.

Ng'ombe, punda, mbuzi sasa ruksa kuzurura popote palipo na uoto wa kijani!
Na huwa hawaondoki hapo mpaka uoto wote wa kijani umeharibiwa kabisa.

Nenda leo sehemu za Shinyanga, Mwanza,Tabora, Manyara n Arusha.
Mikoa ya wafugaji.
Uharibifu wa ardhi ni kama hauonekani machoni pa wanasiasa wetu, lakini vile vile hakuna hatua zinzochukuliwa.

Leo mifugo inaleta dhahma Mvomero, Kilosa na na vianzo vya maji huko Ruaha.
Ule uharibifu wa mikoa ya wafugaji unanyemelea kwa kasi mikoa ya wakulima.

Ati sasa yanaatoka maagizo ya nusunusu wafugaji na wakulima watengewe sehemu zao!

Watatengewa vipi kwingine wakati kule kwao walikotengewa walisha fanya uharibifu wa kutisha.

Hivi kwa nini hao wafugaji wasipandishwe mlima Kilimanjaro na Meru, kwenye uoto mzuri zaidi?

Haya matatizo tumeyalea ili watu wapate umarufu wa kisiasa.

Sasa lazima watajwe.

Nani aliruhusu mifugo na wafugaji kuzurura nchi nzima?
 
Ilianza zamani,lakini lowasa akiwa waziri ndiyo alichochea kwa kulazimisha kila kijiji itenge sehemu ya mifugo,kwa hiyo aliwatayarishua ndugu zake njia ya kuzurura.
 
Huu Uzi unagusa ni nyeti sana! Na naiomba serikali ya Magu, achukulie uzito wa pekee na was aina tofauti kabisa kama kweli anataka nchi hii iende mbere. Hii mifugo inayozagaa Tanzania nzima, itaifanya nchi iwe JAGWA, kama nchi za majangwa wanavyopata shida kubwa ya njaa ukame na umaskini ulio kithiri. Pendekezi; Mikos yote ambayo si ya ufugaji isiruhusiwe kutengewa maeneo ya ufugaji, ming'ombe yote irudishwe kwenye asili yake kuanzia kesho¡!!!!!!!!!!!!!?!!!!!!?!!!!!!!!!!!!
 
Katiba ya Jamhuri inamruhusu mtanzania kuishi na kujipatia kipato cha halali popote ndani ya nchi. Chanzo kinaanzia hapo.
 
Jidula Mabambasi ni jina la school mate wangu huko Kidema ambaye jina lake halisi aliitwa Aman Nzugile, hivi sasa ni marehemu. Sasa wewe unayejiita jina hili bila aibu una maana gani?
 
View attachment 453910

Wakoloni pamoja na ubaya wao, walikuwa wanaona mbali.

Kutokana na tabia za watu walitenga wazi wazi, mikoa ya wafugaji na mikoa ya wakulima.
Na wakaenda mbali kuwa sehemu nyingine mifugo isikanyage asilani.

Siye kwa sababu nzuri tu za kuwaridhisha wapiga kura, zile imaginary boundaries zikavunjwa kabisa.

Ng'ombe, punda, mbuzi sasa ruksa kuzurura popote palipo na uoto wa kijani!
Na huwa hawaondoki hapo mpaka uoto wote wa kijani umeharibiwa kabisa.

Nenda leo sehemu za Shinyanga, Mwanza,Tabora, Manyara n Arusha.
Mikoa ya wafugaji.
Uharibifu wa ardhi ni kama hauonekani machoni pa wanasiasa wetu, lakini vile vile hakuna hatua zinzochukuliwa.

Leo mifugo inaleta dhahma Mvomero, Kilosa na na vianzo vya maji huko Ruaha.
Ule uharibifu wa mikoa ya wafugaji unanyemelea kwa kasi mikoa ya wakulima.

Ati sasa yanaatoka maagizo ya nusunusu wafugaji na wakulima watengewe sehemu zao!

Watatengewa vipi kwingine wakati kule kwao walikotengewa walisha fanya uharibifu wa kutisha.

Hivi kwa nini hao wafugaji wasipandishwe mlima Kilimanjaro na Meru, kwenye uoto mzuri zaidi?

Haya matatizo tumeyalea ili watu wapate umarufu wa kisiasa.

Sasa lazima watajwe.

Nani aliruhusu mifugo na wafugaji kuzurura nchi nzima?
Ni Lowassa alipokuwa waziri wa ARdhi,akaja kugongelea msumari alipokuwa waziri Mkuu.Yeye kwa kuonesha trela,kajitwalia eneo Handeni huko,wazigua wanalia,ardhi yote wamechukuwa wameru na wamasai wanafuga holela
 
Ni Lowassa alipokuwa waziri wa ARdhi,akaja kugongelea msumari alipokuwa waziri Mkuu.Yeye kwa kuonesha trela,kajitwalia eneo Handeni huko,wazigua wanalia,ardhi yote wamechukuwa wameru na wamasai wanafuga holela
Lowasa anaelekea kushinda uchaguzi wa kiongozi aliyeruhusu watu kuingia mitafarukunisiyo ya lazima.
Hivi hakusoma dokezo la wakoloni?
 
Mamvi ndio chanzo haswa!!!!!
Naona mada inakosabwachangiaji kwa vile wengi walikuwa hawajui madhara ya maamuzi mabovu na ya kuleta mifarakani katika jamii kama hili la kuruhusu mifugo kuzurura nchi nzima.

Uamuzi huo ulikuwa wa Lowasa, kinara wa CHADEMA.

Sasa lazima ashitakiwe kwa kuingiza nchi katika mifarakano ambayo ingweza kuepukika.

Lowasa must be gaoled.
 
Tatizo wakulima wamekua wanyonge sana. Dawa ni kuua hiyo mifugo yote inayopita maeneo yenu tena kwa bunduki.. watarudi kwao tu *****.
 
Tatizo wakulima wamekua wanyonge sana. Dawa ni kuua hiyo mifugo yote inayopita maeneo yenu tena kwa bunduki.. watarudi kwao tu *****.
Hiyo itakuwa kuwaonea wafugajia wasiojua kuwa, tatizo linaanzia kwa yule aliyewaruhusu kuzurura na mifugo nchi nzima.
Utaratibu maalum ufanyike na kuweka a cap, mtu mmoja anaweza kuwa na mifugo mingapi na sehemunipi.
 
Ilianza zamani,lakini lowasa akiwa waziri ndiyo alichochea kwa kulazimisha kila kijiji itenge sehemu ya mifugo,kwa hiyo aliwatayarishua ndugu zake njia ya kuzurura.
Nimegonga like, ila alilianzisha truwai, ngoyai akabarikia
 
Huu Uzi unagusa ni nyeti sana! Na naiomba serikali ya Magu, achukulie uzito wa pekee na was aina tofauti kabisa kama kweli anataka nchi hii iende mbere. Hii mifugo inayozagaa Tanzania nzima, itaifanya nchi iwe JAGWA, kama nchi za majangwa wanavyopata shida kubwa ya njaa ukame na umaskini ulio kithiri. Pendekezi; Mikos yote ambayo si ya ufugaji isiruhusiwe kutengewa maeneo ya ufugaji, ming'ombe yote irudishwe kwenye asili yake kuanzia kesho¡!!!!!!!!!!!!!?!!!!!!?!!!!!!!!!!!!
Watawala Wetu wote ni wafugaji, wamejitwisha upofu pasipokujua kuwa wanaua Vizazi vyao, huu ufugaji wa kuhama hama hauna miaka 20 mbeleni, wakoloni watakuja kufuga intensive na sisi wafugaji tutakuwa watumwa wao
 
Back
Top Bottom