Ningesoma biblia kwa sababu kinatoa mwongozo wa kiroho, maadili na namna ya kuishi maisha yenye maana. Katika muda mfupi wa mwisho wa maisha, ningehitaji kitu kinachonisaidia kutafakari, kutengeneza amani ya moyo, na kuelewa thamani ya maisha, si maarifa ya dunia tu bali pia maandalizi ya maisha ya milele.