Hivi kwa nini baadhi ya wanachama cdm wanapenda kujibu hoja zinazokikosoa chama chao kwa keajeli, dharau, na hata kwa matusi. je? aidhihirishi wazi siku cdm ikiwa chama tawala itawanyamazisha wapinzani wao kwa gharama yeyote. naomba kuwasilisha ba ndugu.