Swali la leo kuhusu Tundu Lissu

Swali la leo kuhusu Tundu Lissu

Ikiwa ameishinda Jamhuri ataondoka gerezani?

Kama alifungwa na Jamhuri na Jamhuri ni sisi raia, kwani sisi raia alitukosea nini?
We kijana mbona una maswari magumu magumu. (Sisi wananchi alitukosea nini)
 
Angalau kule kuna taasisi imara sio kama huku kila kitu maelekezo kutoka juu na umungu mtu wa haya matawala batili
Wana taasisi imara lakini ukiwa na dalili za kuingilia ugali wa watu lazima wakulipue.
 
4. MASHARTI NA MUDA MAALUMU KUTOKA COMMONWEALTH CMAG(The Ultimatum)

Kutokana na mapendekezo ya Mjumbe Maalum, CMAG imetoa maelekezo yenye ukomo wa muda (Time-bound actions) kwa Tanzania:

Ndani ya Siku 30: Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria, na kuwaachia wengine wote wanaoshikiliwa kwa kutumia haki zao kwa amani.

Ndani ya Siku 60: Kurejesha upatikanaji kamili wa mitandao ya kijamii na kuacha vitisho dhidi ya vyombo vya habari na watetezi wa uhuru wa kujieleza.

Ndani ya Siku 90: Kuitisha jukwaa shirikishi na la kuaminika la vyama vya siasa (likiongozwa na mwezeshaji huru) kujadili mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi, ushindani wa kisiasa, wafungwa, na uwajibikaji.

Bila Kuchelewa: Kuanza uchunguzi huru wa makosa ya jinai uliopendekezwa na Tume ya Uchunguzi, pamoja na fidia kwa wahanga.

MWISHO WA UBAYA NI AIBU
Mkuu endelea kuwakumbusha hawa wapumbavu kuwa siku zao kuishi hapa Tanzania zinahesabika
 
Back
Top Bottom