Si wanaume wote wenye dharau na ukimwona mwanaume anamdharau mwanamke basi ujue anahitilafu katika fikra zake.
Nasema hivyo kwa maana hii:
MWANAUME KAZALIWA NA MAMA YAKE ambaye ni mwanamke,
kama mwanaume huyu atamdharau mwanamke basi moja kwa moja atakua amemdharau pia na mama yake.