Swali la kizushi: Makao makuu ya DPP yako wapi na kwanini?

Mkuu Buchanan hivi PCCB hakupewa Prosecutorial power kweli kwenye ile sheria yao ya 2007? Manake naona kuna baadhi ya kesi zinaendeshwa na waendesha mashitaka toka PCCB

Wanayo kwa kesi zinazoangukia kwenye saheria yao. Hiyo ya DPP inawawezesha kuprosecute makosa chini ya sheria nyinginezo
 

Mkuu hapo kwenye subject to directions of the DPP sijui pana maana gani kisheria. Hakuna kuwa appoint bali anatoa directions. Inaweza ikawa kwamba wana prosecutorial power ila kuna directions fulani wanatakiwa wapate toka kwa DPP?

Vipi kuhusu kuteua private Prosecutors? Mbona sijaona hata siku moja akiteua waendesha mashitaka wa kujitegemea kama ambavyo CAG huwa anateua wakaguzi wa kujitegemea kama vile Ernest and Young (EPA), nk. Najua kisheria CAG ndiye mwenye mamlaka ya kukagua hesabu za serikali lakini pia amepewa mamlaka ya kuteua wengine kumfanyia kazi kama DPP.
 
Mkuu Kimbunga usisahau s. 95 (1) ya CPA inayozungumzia uteuzi wa Public Prosecutors! Hiyo ya Private Prosecutors tuiweke pembeni kwa sasa unless unamaanisha kwamba Prosecutors wa PCCB ni "Private!"
 

maana yake polisi na takukuru wanatakiwa kupeleka majalada yao kwa dpp ili kupata maelekezo ya namna ya kukamilisha uchunguzi kama atakavyoona
kabla hajatoa consent yake.
 
maana yake polisi na takukuru wanatakiwa kupeleka majalada yao kwa dpp ili kupata maelekezo ya namna ya kukamilisha uchunguzi kama atakavyoona
kabla hajatoa consent yake.

Sasa DPP ni "Mkurugenzi wa Upelelezi" mpaka atoe maelekezo ya namna ya kumaliza uchunguzi? Au kuna Sheria gani inayomwezesha kufanya hivyo?
 
Sasa DPP ni "Mkurugenzi wa
Upelelezi" mpaka atoe maelekezo ya namna ya kumaliza uchunguzi? Au kuna
Sheria gani inayomwezesha kufanya hivyo?

hapana. anachambua ushahidi uliokusanywa ili kujiridhisha kama una vipengere vyote vinavyotakiwa kuthibitisha kosa. kama kuna upungufu anaelekeza cha kufanya kuziba upungufu huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…