SWALI: KWANINI WANAWAKE WAZURI HAWAOLEWI ?

SWALI: KWANINI WANAWAKE WAZURI HAWAOLEWI ?

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,200
Reaction score
16,405
Eeebanae!

Ni ukweli usiopingika, wanawake warembo, wengi wao wanapigwa na kuachwa tuu, au wanazalishwa na kuishia kua masingo mother.

Hii ni kwanini? Utakuta mtu anaoa mwanamke mpaka unajiuliza huyu mwamba kampendea nini huyu mwanamke? Mbona Wa kawaida Sana?! Aseee! Mademu wabaya ndio wanaoongoza kwa kuolewa huwez amini.

Nyie wadada Wazuri mnakwama wapi?! Wengiwenu mnazeekea makwenu tuu baada ya kuzalishwa aseee!

Sijui wanakwama wapi hawa watu.

Au ndio mmeumbwa kwa ajili ya kutafunwa tuu?! Au labda mmezaliwa ili muwe michepuko?

Duuh! Mnatia huruma Sana.
 
Unaongelea wanawake Wazuri au Warembo?

Wanaume karibu wote wanatamani sana kuoa wanawake wazuri hata kama si warembo. Hasa wazuri wa mioyo.

Kwa bahati mbaya tu wengi wanakutana na warembo na wanaishia nao njiani kwasababu wanajua hata wakiwaoa ni mtihani.
 
Unaongelea wanawake Wazuri au Warembo?

Wanaume karibu wote wanatamani sana kuoa wanawake wazuri hata kama si warembo. Hasa wazuri wa mioyo.

Kwa bahati mbaya tu wengi wanakutana na warembo na wanaishia nao njiani kwasababu wanajua hata wakiwaoa ni mtihani.
Hivi kumbe upo
 
Tatizo wenye sura mbovu hungangania ndoa halafu mara moja kushika mimba, wazuri hawaitaki ndoa haraka wanaona watazeeka haraka. Acha sisi tuwale wewe endelea kuowa hao vitunguu swaumu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Sio kweli, wazuri unakuta washatoa mimba za kutosha
 
Tatizo wenye sura mbovu hungangania ndoa halafu mara moja kushika mimba, wazuri hawaitaki ndoa haraka wanaona watazeeka haraka. Acha sisi tuwale wewe endelea kuowa hao vitunguu swaumu.


Ndukiiiii [emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kwa hiyo mnakuwa mmelazimishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom