comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,200
- 16,405
Eeebanae!
Ni ukweli usiopingika, wanawake warembo, wengi wao wanapigwa na kuachwa tuu, au wanazalishwa na kuishia kua masingo mother.
Hii ni kwanini? Utakuta mtu anaoa mwanamke mpaka unajiuliza huyu mwamba kampendea nini huyu mwanamke? Mbona Wa kawaida Sana?! Aseee! Mademu wabaya ndio wanaoongoza kwa kuolewa huwez amini.
Nyie wadada Wazuri mnakwama wapi?! Wengiwenu mnazeekea makwenu tuu baada ya kuzalishwa aseee!
Sijui wanakwama wapi hawa watu.
Au ndio mmeumbwa kwa ajili ya kutafunwa tuu?! Au labda mmezaliwa ili muwe michepuko?
Duuh! Mnatia huruma Sana.
Ni ukweli usiopingika, wanawake warembo, wengi wao wanapigwa na kuachwa tuu, au wanazalishwa na kuishia kua masingo mother.
Hii ni kwanini? Utakuta mtu anaoa mwanamke mpaka unajiuliza huyu mwamba kampendea nini huyu mwanamke? Mbona Wa kawaida Sana?! Aseee! Mademu wabaya ndio wanaoongoza kwa kuolewa huwez amini.
Nyie wadada Wazuri mnakwama wapi?! Wengiwenu mnazeekea makwenu tuu baada ya kuzalishwa aseee!
Sijui wanakwama wapi hawa watu.
Au ndio mmeumbwa kwa ajili ya kutafunwa tuu?! Au labda mmezaliwa ili muwe michepuko?
Duuh! Mnatia huruma Sana.