Nikiwa kama mdau wa ICT napenda kufahamu kitu kimoja kuhusu mobile application.
Kwa mtu ama kikundi cha watu wanaomiliki mobile apps zao na kuziupload mfano google store na watu wakadownload bure kwa mfano apps za magame, chatting apps km vile whatapps.
Swali: Je hawa watu wanafaidika vip na apps zao ikiwa hakuna anayelipia ni bure kudownload
msada wadau hii kitu inanichanganya sana tuelimishane.
kuna msemo maarufu tu ukiona ni bure ujue bidhaa ni wewe, wanapata hela kupitia matangazo, wanachukua information zako kama location, namba za simu, msg nk na kuziuza wengine wanaiba hadi data kama picha na video
Wengi hawapati faida yoyote. Kama WhatsApp hawajawahi kupata faida, gharama za eundeshaji ni kubwa kuliko walichokuwa wanaingiza na fee yao ya $1 kwa mwaka ambayo wameifuta kabisa.
Pia hawana matangazo na wamesema kamwe hawatakua nayo na data za watumiaji hawauzi. Hawa wameshanunuliwa na facebook so hawana presha.
Instagram wana matangazo usipoangalia vizuri hauwezi kuyatambua, yapo kama post za watu. Pia wamenunuliwa na Facebook, hawakuingiza faida kabla ya kuuzwa.
kuna msemo maarufu tu ukiona ni bure ujue bidhaa ni wewe, wanapata hela kupitia matangazo, wanachukua information zako kama location, namba za simu, msg nk na kuziuza wengine wanaiba hadi data kama picha na video