No. 2 aweza kuwa muigizaji mzuri kweli, chozi la uongo. Baada ya kukulilia hapo anarudia maovu yake.....
No. 1 inanipa shida kidogo kukubali maana umetumia neno "kuhonga"
...Hakuna jibu lililosahihi
Wa kwanza hajiamini,hanifai.
Wa pili ndio dah!! Mwanaume wa kujiliza liza wa kazi gani? Nani anataka uchuro?
Mwanaume anipende awezavyo lakini asipoteze sifa ya kujitambua!!!
Duuuuuuh! bado hapo sijaona anayenipenda/ ninayeweza kusema nimempenda coz huyo anayenihonga na kuwa fukara akinioa atakuwa ameuaga ukoo wake mazima ,wakati familia zote mbili ni zinatuhusu( NITAMKALIA).
Huyu wa pili nae atakuwa amenipenda sana kuliko mimi ninavyompenda wakati mapenzi mazuri ni wote kupendana kwa dhati.(NITAMUUMIZA ALWAYS)