BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Kwa wanawake swali lenu ni hili, je utakubali kuolewa na kijana ambaye umepata taarifa za KWELI kwamba alishaua mwanamke mwenzio kwa ajili ya wivu wa kimapenzi na ameshakaa jela ila kwa figusu za hapa na pale ameachiwa
Kwa wazazi, je mtoto wenu wa kike ndo anamleta huyo kijana kwenu anataka kuolewa naye ..mtamkubalia ama kuwakubalia ukizingatia mnajua kwamba huyo kijana alishafanya mauaji ya kutisha kwa mwanamke aliekua tu mpenzi wake.
Kwa wazazi, je mtoto wenu wa kike ndo anamleta huyo kijana kwenu anataka kuolewa naye ..mtamkubalia ama kuwakubalia ukizingatia mnajua kwamba huyo kijana alishafanya mauaji ya kutisha kwa mwanamke aliekua tu mpenzi wake.