ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,676
- 90,157
Hivi leo ndio nimejua kuna mtu ananipendaEwaaaaa....
Nakupenda ujue!!
Hivi leo ndio nimejua kuna mtu ananipendaEwaaaaa....
Nakupenda ujue!!
Kwa point ilee naachaje kukupendaHivi leo ndio nimejua kuna mtu ananipenda
jibu zuringoja nijibu kihuni !blow job ,handjob ,tit f#$ck kutoka kwa wifey
Imeandikwa nitakupenda ktk shida naraha .Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?
Pia mzingatie usafi, soon after muende kuoga.Unasubiri Amikaliza 40 tu unagonga haina shida na mtoto anakua poa tu, mtoto wa halali azuriki na shawaha za baba, yaani mimi my wife alivyomaliza 40 tuu nilikuwa namkanyaga tuu na freshh mtoto now anatembea
Hahahahahaaa!!!!! 'Akili yote huamia kichwa cha chini' sawa bro!Mke akijifungua na wewe ukawa umejiweka kwenye hali ya uzazi yaani kumlea mtoto kwa pamoja toka akiwa mchanga maana yake akilia usiku na wewe uamke kumnyamazisha na kujumlisha na majukumu ya mchana kutwa mwili utachoka tu hilo wazo litakosa nguvu kuliko ukawa hauko bize basi akili yote huamia kichwa cha chini
Wanaume mupo wachache sana mnaojua majukumu ya kwenu,mkeo na familia kwa ujumla. Hongera kakaMke akijifungua na wewe ukawa umejiweka kwenye hali ya uzazi yaani kumlea mtoto kwa pamoja toka akiwa mchanga maana yake akilia usiku na wewe uamke kumnyamazisha na kujumlisha na majukumu ya mchana kutwa mwili utachoka tu hilo wazo litakosa nguvu kuliko ukawa hauko bize basi akili yote huamia kichwa cha chini
Kama utamjali mwenzi wako ukawa pamoja naye kihisia, utaji-tune kisaikolojia hiyo hali haitakusumbua. Pia uwe busy.Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?
tit.f@cK na ka chalii kanyonye hapo hapo!??ngoja nijibu kihuni !blow job ,handjob ,tit f#$ck kutoka kwa wifey
Ina maana wewe huna mambo ya kufanya zaidi ya ngono tu? Tambua kuwa ngono ni suala la kisaikolojia zaidi, ukiwaza sana ngono akili yako itakuwa haina matunda na inahamia kwenye ngono.Wanaume mliooa mke mmoja ikifikia wake zenu wamejifungua au wana ugonjwa wa muda mrefu na wito wa asili wa kufanya tendo landoa ukija mnafanyaje?