Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
Acha zako wewe,,,,,,,,,,ungekuwa jirani ningekukata makofi kwa kutujumuisha wafupi wote wakati ni tatizo la huyo mmoja.
hahahaha, mie nakupenda hivyo hivyo katavi na ufupi wako.
Acha zako wewe,,,,,,,,,,ungekuwa jirani ningekukata makofi kwa kutujumuisha wafupi wote wakati ni tatizo la huyo mmoja.
kweli nimeamini wanaume wafupi wana matatizo sana. Wasipopendwa wanalalamika utackia ooh mi mfupi ndo mana mademu wananikataa. Lakini wakipata bahati ya kupendwa wanaichezea. Kuna mdada amempenda sana mkaka mfupi,cha ajabu huyo kaka ndo kwanza pozi zmekuwa nyingi. Swali kwao short men labda wanataka nini? Moto au baridi? Hebu jifunzeni jamani 7bu mshajua most of girls are preffered tall men but nyie mkipendwa mnaleta pozi za ajabu. Hebu acheni kuchezea shilingi chooni.
Nahisi umekurupuka na stress zako, ukaamua kuandika utumbo wa namnahii. Watchout!!!
Kumradhi ndugu, hapa siyo facebook kuwa na heshima nyambaafuu!!!