Rodwell mTZ
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,583
- 1,800
Hamjambo wakuu. nina swali katika upikaji wa kutumia gas kuna njia mbili ya kwanza ni ile ya kutumia jiko mara nyingi yana sehemu mbili za kupikia halafu hayana kelele njia ya pili ni ile ya kuinjika sufuria kwenye kimtungi kidogo chenye figa la chuma na kuna kelele nyingi. swali langu ni njia ipi inatumia gas kwa kiasi kidogo zaidi? au ni njia ipi inasevu gas ?