Hivi mke/ mme ni mpenzi, rafiki, ndugu, partner, mzazi mwenzio, msaidizi au ni nani naomba msaada jamani ili swali linachanganya
halafu wewe hata ueleweki
kwangu msukuma ni mpenzi na rafiki yangu mkubwa.
Hivi mke/ mme ni mpenzi, rafiki, ndugu, partner, mzazi mwenzio, msaidizi au ni nani naomba msaada jamani ili swali linachanganya
hivi Luv huyo ndo nani tena?:confused2:
umeshasahau hata kabila lako luv?....unazeeka vibaya kweli.
Hivi mke/ mme ni mpenzi, rafiki, ndugu, partner, mzazi mwenzio, msaidizi au ni nani naomba msaada jamani ili swali linachanganya
Hilo ndio jibu sahihi, lakini kila mtu ana mtazamo wake.Yote majibu.
Samahani lakini kama nimewakwaza......
kwa nn sasa mnasaini vyeti vya ndoa si ndio kupinga undugu kwenyewe maana naona ndoa kama ni mkataba flani hivi wa kisheria
Hilo swali ni la kwa wanandoa, asa mbona nyie mmekurupuka kulijibu.
Ni kwa wana ndoa waliofunga ndoa kabisa na si kuvutana. Wink.
kwa nn sasa mnasaini vyeti vya ndoa si ndio kupinga undugu kwenyewe maana naona ndoa kama ni mkataba flani hivi wa kisheria