Sakala Sakala
Senior Member
- Sep 17, 2017
- 113
- 76
Kwa mtazamo wako kipi bora? Atangulie kufika (kupiga bao) mwanaume au mwanamke? Na akitangulia mwanamke kuna faida na changamoto zipi?
Ngoja waje wapiga mabao na wapigwaji mabao.Kwa mtazamo wako kipi bora? Atangulie kufika (kupiga bao) mwanaume au mwanamke? Na akitangulia mwanamke kuna faida na changamoto zipi?
Wanandoa mkuje huku mchangine namna ya kuendeleza 'viwanda vyenu'
Ili Tanzania ya viwanda tuifikie kabla ya 2020