foxyizafa
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 224
- 56
Hivi lowasa alijuzuru au alistaafu,?na hivi lowasa anapenda democrasia kweli naanamini ktk hilo?hivi sera za lowasa ndoznaiongoza chadema au sera za chadema zinamuongoza lowasa?,hivi lowasa aliihitaji chadema au chadem@
ilimuhitaji lowasa?nani anauchungu nachadema aliyekatwa ccm au mhafidhina?kama ikitokea bahati mbaya mkishinda nani atachagua viongoz chadema au lowasa?je ahadi za uongozi kwa waasisi wasafari ya matumaini waliomfata zitakufa?nna mengi ilanijibuni hayo kwanza
ilimuhitaji lowasa?nani anauchungu nachadema aliyekatwa ccm au mhafidhina?kama ikitokea bahati mbaya mkishinda nani atachagua viongoz chadema au lowasa?je ahadi za uongozi kwa waasisi wasafari ya matumaini waliomfata zitakufa?nna mengi ilanijibuni hayo kwanza