Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini na ukabila kwa wananchi!

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini,ukanda na ukabila miongoni mwa wananchi.

Kama ambavyo tunahitaji kuwe na fursa ya mgombea binafsi uamuzi wa muungano wa vyama (Ukawa) kusema jimbo au kata hii tunamwachia mgombea wa chama Fulani ni kurudi nyuma miaka 100 kulekea kwenye demokrasia ya vyama vingi.Yawapasa wananchi wawe na machaguo mengi iwezekanavyo ili wachague wanayemtaka. Ni upuuzi kusema eti majimbo ya Moshi na Arusha tuwaachie Chadema kwa sababu viongozi wajuu na waasisi wa chama hicho wanatokea huko kwa hiyo vyama vingine kama CUF kuonekama havitakiwi kusimamisha wagombea huko kwa kigezo wao (CUF) ‘wanakubalika kusini’. Madhara yake ni mengi kama ifuatavyo;

Kuna vyama vina hatimiliki ya kufanya siasa mahali Fulani na kujenga taswira ya udini,ukabila na ukanda..hili ni donda kubwa sana na hakika linatafuna demokrasia kwa wagombea katika vyama vya siasa.

Wengi, watasema mbona Kenya wanafanya…hakika hata Kenya wanakosea ndio maana muunganiko wa vyama vyao kabla ya uchaguzi huwa ni muunganiko wa makabila Fulani dhidi ya makabila Fulani, Kenya hakuna siasa za hoja bali ni siasa za chief mwenye wanachi wengi ndiye mtawala,nani anataka tufike huko. Kwa mfano Afrika kusini, vyama vyote husimamisha wagombea kila jimbo na baada ya uchaguzi kama hakuna chama chenye ‘majority’kuunda serikali ndipo hufanya makubaliano na vyama vingine kwa kugawana madaraka kuendesha serikali, jimbo au Manispaa…na hivi ndivyo ilivyo hata ulaya. Ndio maana mwaka 2010 David Camoroun ilimpasa kuungana na Nick Cleig wa Lib.Democrat kupata ‘majority’ ili kuunda serikali, lakini mwaka 2015 conservative ilipata viti vya kutosha kuunda serikali na walitengana na Lib Democrats ili kuendesha serikali kwa kuzingatia sera zao (Conservative) ambazo kimsingi ndizo chaguo la wananchi.

Ushahidi wa haya umeonekana tokea kipindi cha uchaguzi baadhi ya vyama kucheza rafu kwa kusimamisha wagombea, ni hulka ya mwanasiasa yeyote kutoa mchango wake kwa kuomba uongozi kama utasema wewe subiri muachie kwanza huyu halafu kesho itakuwa zamu yako. Huu ndio mwanzo wa chuki na kutokuaminiana. Mathalani, Je Mbatia atakubali kuacha kugombea ubunge 2020 ili kumpisha mgombea wa Chadema na kumuunga mkono? Hapa ndipo patakapochimbika, si Vunjo tu bali sehemu nyingi zitazua migogoro na kabla ya uchaguzi wa 2020 ni dhahiri hakutakuwa na makubaliano ya kuachiana majimbo,kata na hata uraisi miongozi mwa vyama shiriki Ukawa.

Kama wanasiasa wanafikiri ni muhimu kwa na sheria ya kuruhusu vyama vya siasa kuungana ili kupata wagombea ni vema wafikirie kuamua kuua vyama vyao na wakubaliane kutengeneza chama kimoja chenye nguvu ili kuleta mantiki ya hoja na itikadi
 
Unalipwa ngapi kwa kujitengenezea nyongo mwilini kwa ajili ya chuki uliyonayo kwa chadema mkuu?! Achilia hili ili uuone ukuu wa Mungu.
 
Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini,ukanda na ukabila miongoni mwa wananchi.

Kama ambavyo tunahitaji kuwe na fursa ya mgombea binafsi uamuzi wa muungano wa vyama (Ukawa) kusema jimbo au kata hii tunamwachia mgombea wa chama Fulani ni kurudi nyuma miaka 100 kulekea kwenye demokrasia ya vyama vingi.Yawapasa wananchi wawe na machaguo mengi iwezekanavyo ili wachague wanayemtaka. Ni upuuzi kusema eti majimbo ya Moshi na Arusha tuwaachie Chadema kwa sababu viongozi wajuu na waasisi wa chama hicho wanatokea huko kwa hiyo vyama vingine kama CUF kuonekama havitakiwi kusimamisha wagombea huko kwa kigezo wao (CUF) ‘wanakubalika kusini’. Madhara yake ni mengi kama ifuatavyo;

Kuna vyama vina hatimiliki ya kufanya siasa mahali Fulani na kujenga taswira ya udini,ukabila na ukanda..hili ni donda kubwa sana na hakika linatafuna demokrasia kwa wagombea katika vyama vya siasa.

Wengi, watasema mbona Kenya wanafanya…hakika hata Kenya wanakosea ndio maana muunganiko wa vyama vyao kabla ya uchaguzi huwa ni muunganiko wa makabila Fulani dhidi ya makabila Fulani, Kenya hakuna siasa za hoja bali ni siasa za chief mwenye wanachi wengi ndiye mtawala,nani anataka tufike huko. Kwa mfano Afrika kusini, vyama vyote husimamisha wagombea kila jimbo na baada ya uchaguzi kama hakuna chama chenye ‘majority’kuunda serikali ndipo hufanya makubaliano na vyama vingine kwa kugawana madaraka kuendesha serikali, jimbo au Manispaa…na hivi ndivyo ilivyo hata ulaya. Ndio maana mwaka 2010 David Camoroun ilimpasa kuungana na Nick Cleig wa Lib.Democrat kupata ‘majority’ ili kuunda serikali, lakini mwaka 2015 conservative ilipata viti vya kutosha kuunda serikali na walitengana na Lib Democrats ili kuendesha serikali kwa kuzingatia sera zao (Conservative) ambazo kimsingi ndizo chaguo la wananchi.

Ushahidi wa haya umeonekana tokea kipindi cha uchaguzi baadhi ya vyama kucheza rafu kwa kusimamisha wagombea, ni hulka ya mwanasiasa yeyote kutoa mchango wake kwa kuomba uongozi kama utasema wewe subiri muachie kwanza huyu halafu kesho itakuwa zamu yako. Huu ndio mwanzo wa chuki na kutokuaminiana. Mathalani, Je Mbatia atakubali kuacha kugombea ubunge 2020 ili kumpisha mgombea wa Chadema na kumuunga mkono? Hapa ndipo patakapochimbika, si Vunjo tu bali sehemu nyingi zitazua migogoro na kabla ya uchaguzi wa 2020 ni dhahiri hakutakuwa na makubaliano ya kuachiana majimbo,kata na hata uraisi miongozi mwa vyama shiriki Ukawa.

Kama wanasiasa wanafikiri ni muhimu kwa na sheria ya kuruhusu vyama vya siasa kuungana ili kupata wagombea ni vema wafikirie kuamua kuua vyama vyao na wakubaliane kutengeneza chama kimoja chenye nguvu ili kuleta mantiki ya hoja na itikadi

Wimbo wa udini na ukabila unaimbwa na chama chako, huku mkishindwa kuruhusu akili zenu kufanya kazi.
Hivi kuna chama ambacho kimesajiliwa kwa kutumia itikadi za dini au ukabila? ila ccm wamekuwa wakiimba kuwa Cuf ni chama cha waislamu na Chadema ni chama cha wachaga...ccm ndio wenye fikra za ukabila na udini
 
Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini,ukanda na ukabila miongoni mwa wananchi.

Kama ambavyo tunahitaji kuwe na fursa ya mgombea binafsi uamuzi wa muungano wa vyama (Ukawa) kusema jimbo au kata hii tunamwachia mgombea wa chama Fulani ni kurudi nyuma miaka 100 kulekea kwenye demokrasia ya vyama vingi.Yawapasa wananchi wawe na machaguo mengi iwezekanavyo ili wachague wanayemtaka. Ni upuuzi kusema eti majimbo ya Moshi na Arusha tuwaachie Chadema kwa sababu viongozi wajuu na waasisi wa chama hicho wanatokea huko kwa hiyo vyama vingine kama CUF kuonekama havitakiwi kusimamisha wagombea huko kwa kigezo wao (CUF) ‘wanakubalika kusini’. Madhara yake ni mengi kama ifuatavyo;

Kuna vyama vina hatimiliki ya kufanya siasa mahali Fulani na kujenga taswira ya udini,ukabila na ukanda..hili ni donda kubwa sana na hakika linatafuna demokrasia kwa wagombea katika vyama vya siasa.

Wengi, watasema mbona Kenya wanafanya…hakika hata Kenya wanakosea ndio maana muunganiko wa vyama vyao kabla ya uchaguzi huwa ni muunganiko wa makabila Fulani dhidi ya makabila Fulani, Kenya hakuna siasa za hoja bali ni siasa za chief mwenye wanachi wengi ndiye mtawala,nani anataka tufike huko. Kwa mfano Afrika kusini, vyama vyote husimamisha wagombea kila jimbo na baada ya uchaguzi kama hakuna chama chenye ‘majority’kuunda serikali ndipo hufanya makubaliano na vyama vingine kwa kugawana madaraka kuendesha serikali, jimbo au Manispaa…na hivi ndivyo ilivyo hata ulaya. Ndio maana mwaka 2010 David Camoroun ilimpasa kuungana na Nick Cleig wa Lib.Democrat kupata ‘majority’ ili kuunda serikali, lakini mwaka 2015 conservative ilipata viti vya kutosha kuunda serikali na walitengana na Lib Democrats ili kuendesha serikali kwa kuzingatia sera zao (Conservative) ambazo kimsingi ndizo chaguo la wananchi.

Ushahidi wa haya umeonekana tokea kipindi cha uchaguzi baadhi ya vyama kucheza rafu kwa kusimamisha wagombea, ni hulka ya mwanasiasa yeyote kutoa mchango wake kwa kuomba uongozi kama utasema wewe subiri muachie kwanza huyu halafu kesho itakuwa zamu yako. Huu ndio mwanzo wa chuki na kutokuaminiana. Mathalani, Je Mbatia atakubali kuacha kugombea ubunge 2020 ili kumpisha mgombea wa Chadema na kumuunga mkono? Hapa ndipo patakapochimbika, si Vunjo tu bali sehemu nyingi zitazua migogoro na kabla ya uchaguzi wa 2020 ni dhahiri hakutakuwa na makubaliano ya kuachiana majimbo,kata na hata uraisi miongozi mwa vyama shiriki Ukawa.

Kama wanasiasa wanafikiri ni muhimu kwa na sheria ya kuruhusu vyama vya siasa kuungana ili kupata wagombea ni vema wafikirie kuamua kuua vyama vyao na wakubaliane kutengeneza chama kimoja chenye nguvu ili kuleta mantiki ya hoja na itikadi

Ukawa ni muunganiko wa vyama 4 tu na Tanzania kuna vyama zaidi ya 20 Sasa hivyo vyote ujaviona ww umeona ukawa tu? Jiulize kwanini hivyo vyama vingine havifanyoli vizuri? Au ww Demokrasia unaiona kwa vyama vinne tu
 
Ukawa ni muunganiko wa vyama 4 tu na Tanzania kuna vyama zaidi ya 20 Sasa hivyo vyote ujaviona ww umeona ukawa tu? Jiulize kwanini hivyo vyama vingine havifanyoli vizuri? Au ww Demokrasia unaiona kwa vyama vinne tu
Ndipo hapa inapokuja haja ya kuunganisha vyama hivyo tuwe na chama kimoja kikubwa.
 
Wimbo wa udini na ukabila unaimbwa na chama chako, huku mkishindwa kuruhusu akili zenu kufanya kazi.
Hivi kuna chama ambacho kimesajiliwa kwa kutumia itikadi za dini au ukabila? ila ccm wamekuwa wakiimba kuwa Cuf ni chama cha waislamu na Chadema ni chama cha wachaga...ccm ndio wenye fikra za ukabila na udini
Kijana usichangie huku ukilialia....nina uhakika moyo wako umeelewa na unakusuta kwa uliyoaandika...tunataka siasa za itikadi na sio siasa za huku kwetu kule kwao.
 
Hahahahah naona leo badala ya kudadavua wewe ndio umedadadvuliwa....
 
Wakudadavua ulichosema ni sahihi kabisa huu ukawa umevuruga democrasia kabisa

Nakumbuka moja kati ya makubaliano kupitia ukawa ni kuachiana majimbo hii issue ilikuwa ngumu sana.
 
magu anaongoza nchi kwa ukanda na udini-mzee mwinyi magazeti ya jana!
 
Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini,ukanda na ukabila miongoni mwa wananchi.

Kama ambavyo tunahitaji kuwe na fursa ya mgombea binafsi uamuzi wa muungano wa vyama (Ukawa) kusema jimbo au kata hii tunamwachia mgombea wa chama Fulani ni kurudi nyuma miaka 100 kulekea kwenye demokrasia ya vyama vingi.Yawapasa wananchi wawe na machaguo mengi iwezekanavyo ili wachague wanayemtaka. Ni upuuzi kusema eti majimbo ya Moshi na Arusha tuwaachie Chadema kwa sababu viongozi wajuu na waasisi wa chama hicho wanatokea huko kwa hiyo vyama vingine kama CUF kuonekama havitakiwi kusimamisha wagombea huko kwa kigezo wao (CUF) ‘wanakubalika kusini’. Madhara yake ni mengi kama ifuatavyo;

Kuna vyama vina hatimiliki ya kufanya siasa mahali Fulani na kujenga taswira ya udini,ukabila na ukanda..hili ni donda kubwa sana na hakika linatafuna demokrasia kwa wagombea katika vyama vya siasa.

Wengi, watasema mbona Kenya wanafanya…hakika hata Kenya wanakosea ndio maana muunganiko wa vyama vyao kabla ya uchaguzi huwa ni muunganiko wa makabila Fulani dhidi ya makabila Fulani, Kenya hakuna siasa za hoja bali ni siasa za chief mwenye wanachi wengi ndiye mtawala,nani anataka tufike huko. Kwa mfano Afrika kusini, vyama vyote husimamisha wagombea kila jimbo na baada ya uchaguzi kama hakuna chama chenye ‘majority’kuunda serikali ndipo hufanya makubaliano na vyama vingine kwa kugawana madaraka kuendesha serikali, jimbo au Manispaa…na hivi ndivyo ilivyo hata ulaya. Ndio maana mwaka 2010 David Camoroun ilimpasa kuungana na Nick Cleig wa Lib.Democrat kupata ‘majority’ ili kuunda serikali, lakini mwaka 2015 conservative ilipata viti vya kutosha kuunda serikali na walitengana na Lib Democrats ili kuendesha serikali kwa kuzingatia sera zao (Conservative) ambazo kimsingi ndizo chaguo la wananchi.

Ushahidi wa haya umeonekana tokea kipindi cha uchaguzi baadhi ya vyama kucheza rafu kwa kusimamisha wagombea, ni hulka ya mwanasiasa yeyote kutoa mchango wake kwa kuomba uongozi kama utasema wewe subiri muachie kwanza huyu halafu kesho itakuwa zamu yako. Huu ndio mwanzo wa chuki na kutokuaminiana. Mathalani, Je Mbatia atakubali kuacha kugombea ubunge 2020 ili kumpisha mgombea wa Chadema na kumuunga mkono? Hapa ndipo patakapochimbika, si Vunjo tu bali sehemu nyingi zitazua migogoro na kabla ya uchaguzi wa 2020 ni dhahiri hakutakuwa na makubaliano ya kuachiana majimbo,kata na hata uraisi miongozi mwa vyama shiriki Ukawa.

Kama wanasiasa wanafikiri ni muhimu kwa na sheria ya kuruhusu vyama vya siasa kuungana ili kupata wagombea ni vema wafikirie kuamua kuua vyama vyao na wakubaliane kutengeneza chama kimoja chenye nguvu ili kuleta mantiki ya hoja na itikadi
Hivi kati ya ukawa na ccm nani anaeshabikia ukabila, udini na ukanda?Hebu fikili mtu anatoa amri kuwa watu wafanye siasa ktk maeneo yao tu walioshinda. je huoni hii itfanya walioshinda maeneo furani wataendelea kushinda maeneo hayo tu bila kuingiliwa? Na je hizo si dalili za kutaka kuendeleza ukabila, ukanda, na udini?
 
Jinsi Ukawa ilivyoua demokrasia ndani ya vyama vishiriki na kuongeza udini,ukanda na ukabila miongoni mwa wananchi.

Kama ambavyo tunahitaji kuwe na fursa ya mgombea binafsi uamuzi wa muungano wa vyama (Ukawa) kusema jimbo au kata hii tunamwachia mgombea wa chama Fulani ni kurudi nyuma miaka 100 kulekea kwenye demokrasia ya vyama vingi.Yawapasa wananchi wawe na machaguo mengi iwezekanavyo ili wachague wanayemtaka. Ni upuuzi kusema eti majimbo ya Moshi na Arusha tuwaachie Chadema kwa sababu viongozi wajuu na waasisi wa chama hicho wanatokea huko kwa hiyo vyama vingine kama CUF kuonekama havitakiwi kusimamisha wagombea huko kwa kigezo wao (CUF) ‘wanakubalika kusini’. Madhara yake ni mengi kama ifuatavyo;

Kuna vyama vina hatimiliki ya kufanya siasa mahali Fulani na kujenga taswira ya udini,ukabila na ukanda..hili ni donda kubwa sana na hakika linatafuna demokrasia kwa wagombea katika vyama vya siasa.

Wengi, watasema mbona Kenya wanafanya…hakika hata Kenya wanakosea ndio maana muunganiko wa vyama vyao kabla ya uchaguzi huwa ni muunganiko wa makabila Fulani dhidi ya makabila Fulani, Kenya hakuna siasa za hoja bali ni siasa za chief mwenye wanachi wengi ndiye mtawala,nani anataka tufike huko. Kwa mfano Afrika kusini, vyama vyote husimamisha wagombea kila jimbo na baada ya uchaguzi kama hakuna chama chenye ‘majority’kuunda serikali ndipo hufanya makubaliano na vyama vingine kwa kugawana madaraka kuendesha serikali, jimbo au Manispaa…na hivi ndivyo ilivyo hata ulaya. Ndio maana mwaka 2010 David Camoroun ilimpasa kuungana na Nick Cleig wa Lib.Democrat kupata ‘majority’ ili kuunda serikali, lakini mwaka 2015 conservative ilipata viti vya kutosha kuunda serikali na walitengana na Lib Democrats ili kuendesha serikali kwa kuzingatia sera zao (Conservative) ambazo kimsingi ndizo chaguo la wananchi.

Ushahidi wa haya umeonekana tokea kipindi cha uchaguzi baadhi ya vyama kucheza rafu kwa kusimamisha wagombea, ni hulka ya mwanasiasa yeyote kutoa mchango wake kwa kuomba uongozi kama utasema wewe subiri muachie kwanza huyu halafu kesho itakuwa zamu yako. Huu ndio mwanzo wa chuki na kutokuaminiana. Mathalani, Je Mbatia atakubali kuacha kugombea ubunge 2020 ili kumpisha mgombea wa Chadema na kumuunga mkono? Hapa ndipo patakapochimbika, si Vunjo tu bali sehemu nyingi zitazua migogoro na kabla ya uchaguzi wa 2020 ni dhahiri hakutakuwa na makubaliano ya kuachiana majimbo,kata na hata uraisi miongozi mwa vyama shiriki Ukawa.

Kama wanasiasa wanafikiri ni muhimu kwa na sheria ya kuruhusu vyama vya siasa kuungana ili kupata wagombea ni vema wafikirie kuamua kuua vyama vyao na wakubaliane kutengeneza chama kimoja chenye nguvu ili kuleta mantiki ya hoja na itikadi
kuna mdau mmoja alisema kitengo cha propaganda cha ccm kinapwaya wewe ndio umedhihirisha hilo
tofauti na enzi za akina [HASHTAG]#tandale[/HASHTAG] one
 
Back
Top Bottom