Swali kwa wana jf

Swali kwa wana jf

Deliver

Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
61
Reaction score
17
Chukulia ww ni kijana wa kiume ulikua na gf kama 4 hivi ila 1 hua anakutafuta mnapiga story na kujuliana hali hii inamaanisha nn alikupenda kweli au kawaida 2 na ameishaolewa na ww umeoa na ww hua haumtafuti.
 
naomba mnielekeze shule ya jumapili ( sunday school) nikasali mwenzenu.
 
yule aliosema alikuta mtoto wake ni member Jf asije kua mtoto mwenyewe ndio huyu
 
Wewe huyo ndo unamadem wanne eeeh
hao madem zako ni mazumbukuku!!!
 
Tafadhali sana, umeijuaje JF? hadi ukajua jinsi ya kupost thread humu?/
 
Back
Top Bottom