Swali kwa walioowa tuu!

Swali kwa walioowa tuu!

Kwa mfano mimi nimeoa nikakuta hivyo ningekimbia kwawacongo wanisaidie dawa ya kurefusha,kunenepesha uume pamoja na dawa ya kuongeza nguvu za kiume,kwa mfano.

umejuaje me ninayo dawa nikuuzie nimepewa na hao hao
 
kweli yaaaani mtu uchapiwe na chabo upige kuchukua technique za mchapaji hapo ni zaidi ya kasukubuku

then Watu8 kuna ujumbe wako upo kule chitchat nenda ukachungulie kidogo

Nitaenda rafiki usijali
 
We hujaoa na kama unadhani ni rahisi, siku ukisikia mpenzi wako umpendaye kwa dhati amegegedwa na jamaa unaye mfahamu unaweza ukatamani uhame huo mtaa.

Mfano ndo umerud hom toka safar ile unafika mlango mkuu unaukuta uko wazi,unazama had sebulen wakat unakaribia mlango wa chumban unasikia kitanda kikilalamika,hofu inaingia na kujikuta unashawishika kuchungulia ndan.Kupitia tundu la ufungua unamwona mkeo anagegedwa na jamaa,je utachukua uamuzi gani?

Mi kwa upande wangu......

Nitaendelea kuchungulia ili nijifunze mbinu mpya na kujua wap huwa nakosea wakat wa kum do wife
kiroho safi...
 
Cha muhimu kila unapotoka safar ndefu mjulishe mkeo upo njiani unarud ili asifanye uasi siku ya kurudi. Ila kwa vile umerudi kimya kimya we rudi kinyume nyume, Nenda kapige misele baada ya masaa mawili mpigie simu mkeo kuwa unarudi nyumbani sasa! Cha muhimu uende mkapime ngoma, kama na wewe ulikuwa unagegeda wadada wa huko ulikokwenda basi inaitwa ngoma droo na inabaki Kuwa ni "Siri ya Ndani".
 
Ngoja nikupe picha kama ingekuwa ni mimi;

Kwanza baada ya kuwaona ninge freeze especially kama ni suprise(yani kama sikuwa hata na shaka kama wife anapigwa nje ya ndoa).

Nikishafreeze nitapotewa na fahamu kidogo, nadhani itanibidi niegemee ukuta.

Seconds kidogo fahamu zitanirudia halafu nitakuwa napumua kwa shida sana, naweza kuanguka.

Katika kipindi hicho ni chance pekee ya wale watu kukimbia sababu nitakuwa fightless.

Baada ya kama dakika nitapata hasira za haraka na kali mno. Hasira hizi zitanipelekea niume meno au nibane misuli ya mguu au nipige ukuta au hata machozi kunitoka.

Nikitoka stage hiyo nitatamani KUUA. Hapa ni KUUA mara moja waliopo pale bila mjadala. Hapa mode ya kuua ninayoipenda ni risasi ya shingo. Ningependa kusikia mgoni akikoroma wakati shingo ikitoa damu. Mke wangu risasi ya mguu kwanza wakati mwenzake anakata roho. Then nammalizia ya shingo ili awe na maumivu mara mbili.

Hapo katika kipindi hiki ni hatari sana kufanya jambo la hapo juu kama nina bastola.

Lakini sekunde chache baadae nitaacha kuwaza hayo ya hapo juu maana mimi kama MKRISTO sitakiwi kuhukumu na especially kuua. Matokeo yake yataacha doa kubwa sana kwa watoto wetu. Hapa naamini Roho wa Bwana atanishukia na kunikataza.

Nitakaa chini kwa muda nikiwa sijielewi. Watakimbia(mgoni atakimbia)

Nitaondoka na kwenda kupiga KONYAGI kubwa nzima huku machozi yakinitoka.

Litakuwa doa kubwa sana kwenye maisha yetu ya ndoa. Sijui nitasahau vipi ila chances kubwa itakuwa ni kutengana. Hapa nategemea nguvu ya Mungu iniongoze. Lolote linaweza kutokea, inawezekana nisitengane na mke wangu.

Nitaendelea kupambana na kisasi kwa yule niliyemfumania na kama marafiki wakinizungumzia vibaya plus nikakaa mbali na vitabu vya dini basi ninaweza kulipiza.

Maisha yangu yatabadilika sana. Nitakuwa more concerned na watoto wetu. Sitakuwa na security tena ya ndoa maana pia kuna magonjwa.

Nitajiweka mbali na mke wangu, mwisho wa siku nitatengana nae.

Ni bora afanye hivyo nisione wala nisijue. Kuona mke anafanya mapenzi na mtu mwingine ni kati ya matukio MABAYA sana kumtokea mtu.

Tunaomba Mungu atuongoze.
 
Ngoja nikupe picha kama ingekuwa ni mimi;

Kwanza baada ya kuwaona ninge freeze especially kama ni suprise(yani kama sikuwa hata na shaka kama wife anapigwa nje ya ndoa).

Nikishafreeze nitapotewa na fahamu kidogo, nadhani itanibidi niegemee ukuta.

Seconds kidogo fahamu zitanirudia halafu nitakuwa napumua kwa shida sana, naweza kuanguka.

Katika kipindi hicho ni chance pekee ya wale watu kukimbia sababu nitakuwa fightless.

Baada ya kama dakika nitapata hasira za haraka na kali mno. Hasira hizi zitanipelekea niume meno au nibane misuli ya mguu au nipige ukuta au hata machozi kunitoka.

Nikitoka stage hiyo nitatamani KUUA. Hapa ni KUUA mara moja waliopo pale bila mjadala. Hapa mode ya kuua ninayoipenda ni risasi ya shingo. Ningependa kusikia mgoni akikoroma wakati shingo ikitoa damu. Mke wangu risasi ya mguu kwanza wakati mwenzake anakata roho. Then nammalizia ya shingo ili awe na maumivu mara mbili.

Hapo katika kipindi hiki ni hatari sana kufanya jambo la hapo juu kama nina bastola.

Lakini sekunde chache baadae nitaacha kuwaza hayo ya hapo juu maana mimi kama MKRISTO sitakiwi kuhukumu na especially kuua. Matokeo yake yataacha doa kubwa sana kwa watoto wetu. Hapa naamini Roho wa Bwana atanishukia na kunikataza.

Nitakaa chini kwa muda nikiwa sijielewi. Watakimbia(mgoni atakimbia)

Nitaondoka na kwenda kupiga KONYAGI kubwa nzima huku machozi yakinitoka.

Litakuwa doa kubwa sana kwenye maisha yetu ya ndoa. Sijui nitasahau vipi ila chances kubwa itakuwa ni kutengana. Hapa nategemea nguvu ya Mungu iniongoze. Lolote linaweza kutokea, inawezekana nisitengane na mke wangu.

Nitaendelea kupambana na kisasi kwa yule niliyemfumania na kama marafiki wakinizungumzia vibaya plus nikakaa mbali na vitabu vya dini basi ninaweza kulipiza.

Maisha yangu yatabadilika sana. Nitakuwa more concerned na watoto wetu. Sitakuwa na security tena ya ndoa maana pia kuna magonjwa.

Nitajiweka mbali na mke wangu, mwisho wa siku nitatengana nae.

Ni bora afanye hivyo nisione wala nisijue. Kuona mke anafanya mapenzi na mtu mwingine ni kati ya matukio MABAYA sana kumtokea mtu.

Tunaomba Mungu atuongoze.

Kweli inauma mkuu,kuchapiwa huku unaona 'laivuuu'. Hebu niambie pale mchapaji anajitahidi kuonyesha maufundi na wyf ndo anasifia utamu kwa kusindikizwa na kilio cha mahaba mazito anayopata. Eee Mola tunusuru!
 
Mfano ndo umerud hom toka safar ile unafika mlango mkuu unaukuta uko wazi,unazama had sebulen wakat unakaribia mlango wa chumban unasikia kitanda kikilalamika,hofu inaingia na kujikuta unashawishika kuchungulia ndan.Kupitia tundu la ufungua unamwona mkeo anagegedwa na jamaa,je utachukua uamuzi gani?

Mi kwa upande wangu......

Nitaendelea kuchungulia ili nijifunze mbinu mpya na kujua wap huwa nakosea wakat wa kum do wife
kiroho safi...

Big up Afande Selle kwa wimbo wako "Darubini" - AWAZALO MJINGA NDO LITAKALOMTOKEA.
 
Back
Top Bottom