gateway
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 467
- 123
yap na ndevu zake!!
basi nisamehe bure mkuu coz all along nimekuwa nikijua wewe ni ke
yap na ndevu zake!!
basi nisamehe bure mkuu coz all along nimekuwa nikijua wewe ni ke
hahaha! Polee! Miye ni ke bwana!nisijekuota dushe bure loh!
yap na ndevu zake!!
Wengne kama hamna vya kuandika si mkaangalie kirikou! Hv unajua garama ya mke na maumivu ya kumegewa? Ukiwa na moyo mwepes utazimia
Wakati huo Berreta inakuwa Full Loaded, au?
View attachment 134077View attachment 134077View attachment 134077
unasema????ina maana ndani ya hizi dk 2 tu umefanyiwa surgery au???
daah! Mzee kitu norrincho hicho cha (jwc) (RPC) kinapakia 15 ndani ya magazine..........!
Napita tu
Mfano ndo umerud hom toka safar ile unafika mlango mkuu unaukuta uko wazi,unazama had sebulen wakat unakaribia mlango wa chumban unasikia kitanda kikilalamika,hofu inaingia na kujikuta unashawishika kuchungulia ndan.Kupitia tundu la ufungua unamwona mkeo anagegedwa na jamaa,je utachukua uamuzi gani?
Mi kwa upande wangu......
Nitaendelea kuchungulia ili nijifunze mbinu mpya na kujua wap huwa nakosea wakat wa kum do wife
kiroho safi...