Nyie akina dada/mama mlioolewa hivi kuna haja sana ya kujipodoa kama mabinti ambao hawajaolewa.Sisemi msiwe nadhifu lakini mimi huwa namchallenge mke wangu anapokuwa anahangaika kwenda saloon.
Kuhangaika na kioo chumbani asubuhi akijiandaa kwenda kwenye shughuli zake.Huwa namwambia mimi nakupenda hata usipovaa hizo nywele bandia na madoido mengine,sasa hayo unayoweka unataka nani akuone tena huko nje.
Urembo kwa wanawake huwa ni kwa ajili ya kumfurahisha/kumvutia nani.Wanawake wenzenu au wanaume.Huwa ananijibu eti asipofanya hivyo mimi nitaona wengine waliofanya hivyo watanivutia.Hii ni kweli.
Kuhangaika na kioo chumbani asubuhi akijiandaa kwenda kwenye shughuli zake.Huwa namwambia mimi nakupenda hata usipovaa hizo nywele bandia na madoido mengine,sasa hayo unayoweka unataka nani akuone tena huko nje.
Urembo kwa wanawake huwa ni kwa ajili ya kumfurahisha/kumvutia nani.Wanawake wenzenu au wanaume.Huwa ananijibu eti asipofanya hivyo mimi nitaona wengine waliofanya hivyo watanivutia.Hii ni kweli.