STUNTER
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 13,077
- 17,260
Wakuu Mimi sio mpenzi wa mpira wa miguu,
Ila imetokea tu sasahivi nipo mahali natuliza akili then kwenye screen kuna game ya KAGERA vs SIMBA,
SASA NAWAONA MAKIPA KILA WAKIDAKA MPIRA HUPIGA MOVEMENT YA KWENDA NAO HADI CHINI(wanalala nao)
Sasa naomba kuuliza je, ni machejo tu ya makipa, ni mikogo tu?
Au hii ipo kwenye sheria za soka?
Manake kuna nyakati unaona ameudaka vizuri tu na wala hakuna ulazima wa kulala nao,
Sasa najiuliza ivi kuna sheria yoyote labda ambayo inam-favor kipa aliyelala na mpira na pengine labda angeudaka akasimama nao tu hiyo sheria isingefanya kazi???
Naomba niishie hapa
Ila imetokea tu sasahivi nipo mahali natuliza akili then kwenye screen kuna game ya KAGERA vs SIMBA,
SASA NAWAONA MAKIPA KILA WAKIDAKA MPIRA HUPIGA MOVEMENT YA KWENDA NAO HADI CHINI(wanalala nao)
Sasa naomba kuuliza je, ni machejo tu ya makipa, ni mikogo tu?
Au hii ipo kwenye sheria za soka?
Manake kuna nyakati unaona ameudaka vizuri tu na wala hakuna ulazima wa kulala nao,
Sasa najiuliza ivi kuna sheria yoyote labda ambayo inam-favor kipa aliyelala na mpira na pengine labda angeudaka akasimama nao tu hiyo sheria isingefanya kazi???
Naomba niishie hapa