we acha bwana RFA, ilikuwa ile ya miaka ya 95 , kina DEO KIDUDUYE, GABRIEL YOTA MWASASU, bwana na gazeti lao la msanii Afrika!! kanda ya ziwa ilikuwa balaaaa!!
we acha bwana RFA, ilikuwa ile ya miaka ya 95 , kina DEO KIDUDUYE, GABRIEL YOTA MWASASU, bwana na gazeti lao la msanii Afrika!! kanda ya ziwa ilikuwa balaaaa!!
Kweli mambo yanawashinda. Wanaonyesha tamthilia kwa miezi miwili kisha wanaikatisha kwa miezi minne tena bila taarifa kuomba radhi kwa watazamaji. Kwenye radio wanakwambia tunajiunga studio za Dar Reagent Estate kwa uchambuzi wa magazeti lakini kimyaaa hakuna sauti