Napenda kujua dhumuni la wenzangu ku post hapa au kuchangia habari fulani.
KUna watu tunakubaliana na wengine hawakubaliani kwa issue mbali mbali. Lakini swali langu ni je wenzangu pale unapoamua kuchangia au kuazisha mjadala fulani dhumuni lako hasa inakuwa ni nini ?
binafsi sijakuelewa unamaanisha nini? wewe kwa nini uliamua kujisajili JF? ili iweje? nini kilikuvutia?.......ushauri wako ni nini? maoni?
hahahaha Preta thanks kwa swali subiri nitazamie majibu ya watu. hili lako nitakujibu baadae ila naona wewe umeamu kutimia ile style ya kujibu swali kwa swali.
Dhumuni ni kubadilishana mawazo na wenzako, maana kama huna dhumuni la kubadilishana mawazo ama hutahitaji kupost, ama ukipost utakuwa umepotea njia.
Ndiyo maana ya forum ninavyoelewa mimi.Una swali la nyongeza?
Napenda kujua dhumuni la wenzangu ku post hapa au kuchangia habari fulani.
KUna watu tunakubaliana na wengine hawakubaliani kwa issue mbali mbali. Lakini swali langu ni je wenzangu pale unapoamua kuchangia au kuazisha mjadala fulani dhumuni lako hasa inakuwa ni nini ?
hahahaha Preta thanks kwa swali subiri nitazamie majibu ya watu. hili lako nitakujibu baadae ila naona wewe umeamu kutimia ile style ya kujibu swali kwa swali.
Napenda kujua dhumuni la wenzangu ku post hapa au kuchangia habari fulani.
KUna watu tunakubaliana na wengine hawakubaliani kwa issue mbali mbali. Lakini swali langu ni je wenzangu pale unapoamua kuchangia au kuazisha mjadala fulani dhumuni lako hasa inakuwa ni nini ?