Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Mkuu MMM, heshima yako.
Nakumbuka uliwahi kutuuliza ni viongozi gani wenye uhusiano wa karibu na Rostam Abdulrasul Azizi. Majibu yalikuwa na orodha ndefu ambayo ndani mwake mlikuwa na pumba na mchele.
Swali langu, katika utafiti wako ni kipi uligundua na je unaweza kutupatia members wa ring yake?
Nakumbuka pia ka"nzi" kalikwenda Mashariki ya kati, Corta Rica kisha Igunga (japo kalipotaka kwenda huko Igunga walitaka kukaua). Habari mbaya ni kuwa ka"nzi" walikavunja bawa pale Upanga. Je! Unaweza kutujuza uchafu gani ka"nzi" kaliokota ama kuuona katika majalala ya huko kote mpaka kalipovunjwa bawa?
Kumbuka ulituahidi, if u know you'll let us know.
Nakumbuka uliwahi kutuuliza ni viongozi gani wenye uhusiano wa karibu na Rostam Abdulrasul Azizi. Majibu yalikuwa na orodha ndefu ambayo ndani mwake mlikuwa na pumba na mchele.
Swali langu, katika utafiti wako ni kipi uligundua na je unaweza kutupatia members wa ring yake?
Nakumbuka pia ka"nzi" kalikwenda Mashariki ya kati, Corta Rica kisha Igunga (japo kalipotaka kwenda huko Igunga walitaka kukaua). Habari mbaya ni kuwa ka"nzi" walikavunja bawa pale Upanga. Je! Unaweza kutujuza uchafu gani ka"nzi" kaliokota ama kuuona katika majalala ya huko kote mpaka kalipovunjwa bawa?
Kumbuka ulituahidi, if u know you'll let us know.