Kitu kilichotengenezwa kwa ajili ya kubebea maiti kwaajili ya kwenda kuizika huitwa jeneza, dini gani wanakitumia, madini gani yametumika kukitengeneza hicho chombo, material gani yametumika n.k hivi vyote haviathiri maana ya neno JENEZA.Zaidi ya hapo maneno yatatofautiana kwakuwa lugha inakua na jiografia ya watumiaji