UALIMU NI KAZI !!!
Mwanafunzi mmoja alikua hajui kutoa wala kujumlisha,mwalimu akatumia njia zote kumuelimisha lakn wap,ikabidi ajaribu njia hii:
MWALIMU: Kwenu mnafuga nin?
MWANAFUNZI: Kuku na mbuzi
MWALIMU: Mbuzi mnao wangapi?
MWANAFUNZI: Mbuz 15.
MWALIMU: Mbuzi 15 toa mbuzi 5 watabaki wangapi?
MWANAFUNZI: Unawajua mbuzi we2 au unawackia? ukimtoa mmoja tu wote wanatoka...
MWALIMU: Mh! haya mtoto mzuri, nenda kapumzike!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.