Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,359
Baadae yatajulikana mengi, kama hao ikithibitika ni wauaji basi watakuwa hawajifuzi ni wazoefuWaliomuua Mawazo?. Mbona kesi yao haizungumzii kuwaua hao wengine?.
Baadae yatajulikana mengi, kama hao ikithibitika ni wauaji basi watakuwa hawajifuzi ni wazoefuWaliomuua Mawazo?. Mbona kesi yao haizungumzii kuwaua hao wengine?.
Na ikithibitika sio wauwaji?. Au nahao ndio walimua Akwilina?.Baadae yatajulikana mengi, kama hao ikithibitika ni wauaji basi watakuwa hawajifuzi ni wazoefu
Tatizo mavi yamechukua sehemu ya ubongo wako wa mbele, medula tu iko sawa kukuweka balance usianguke. Soma ile baruaWewe ndio mjinga zaidi, kwa sababu maelezo hayo alitakiwa ayaeleze DPP, kama kaweza kuelezea mpaka alievaa nguo za CDM, kashindwa kusema kama marehemu alijeruhiwa kwanza?.
Utakuwa na matope wewe kichwani mwako.
Watakuwa huru. Au hutaki?Na ikithibitika sio wauwaji?. Au nahao ndio walimua Akwilina?.
Wewe ndio hujui kusoma akaelewa, nandio Moderator wameboresha huu uzi, ili wapumbavu kama wewe muelewe, unaona hio barua inatofauti na maelekezo aliyotoa Polepole?. Karibu kutikisa kichwa huenda kuanzia hio medula, mpaka spinal cord imejaa kinyesi.Tatizo mavi yamechukua sehemu ya ubongo wako wa mbele, medula tu iko sawa kukuweka balance usianguke. Soma ile barua
Halafu wauwaji wawe wakina nani?.Watakuwa huru. Au hutaki?
Comment yako ijayobitanijulisha kama nina chat na Robot.Wewe ndio hujui kusoma akaelewa, nandio Moderator wameboresha huu uzi, ili wapumbavu kama wewe muelewe, unaona hio barua inatofauti na maelekezo aliyotoa Polepole?. Karibu kutikisa kichwa huenda kuanzia hio medula, mpaka spinal cord imejaa kinyesi.
A ha ha ha. Lumumba buku 7 huna hoja.Comment yako ijayobitanijulisha kama nina chat na Robot.
Maana hata TITAN naye hutenda vitu kiaina
Kuna kitu nimejiridhishaA ha ha ha. Lumumba buku 7 huna hoja.
Mkuu upinzani hakuna ela, nikujitoa nakupigania maendeleo, tungekuwa tunataka hizo fedha tungekuja kujiandikisha pale karibu na FIRE, kama unaelekea DIT unakata barabara yakulia ili tule hizo buku 7. Huku upinzani niukweli mtupu, wapenda maendeleo wote tuko huku, huko mnafikiria matumbo yenu tu.Kuna kitu nimejiridhisha
Hahahahaaa ha ha
Nasikia huko kwenu mnakula buku 5
Tunawazidi 2
Kwa serikali hii, hakuna linaloshindikana, kama Abdul Nondo aliambiwa kajiteka, namwisho wasiku akafunguliwa kesi hukohuko IRINGA, na akashinda hio kesi,hilo lakubambikiwa linashindikanaje?.Kwahiyo waliokamatwa wamebambikiwa kesi?
Hawezi kujibu, kaacha huo mwanya sahizi anajilaumu.DPPCCM akijibu naomba mnijulishe
Kwa nini Serikali isimkamate akaenda kunyea ndoo, au Serikali inamuogopa Dj Kama anaweza shambulia watu kwa Lisasi akabaki uraiani, Basi Serikali hio haitufai.Kwani nani asie jua dj ndio alitaka kumuuwa lisu? Aliemuuwa chacha wangwe pia humjui?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili nisuali ambalo kila mwenye akili timamu anapaswa kujiuliza.
DPP kathibitisha kulingana na ushahidi aliopelekewa kutoka police, kuwa marehemu alikufa kwa kunyongwa kule IRINGA, ambae alikuwa kada wa CCM na mgombea udiwani 2020. Suali nikwamba.
"Kama marehemu alinyongwa, na akafariki kwa kukosa hewa, Je fulana ya CDM iliyopatikana Ikiwa na damu ambayo inasemakena alivaa muuwaji na imepatikana nyumbani kwa muuwaji, hiyo damu imetoka wapi?." Au Marehem alijeruhiwa kwanza ndio akanyongwa?.
Nakama alijeruhiwa kwa nini ameeleza maelezo mengi lkn hujatuhabarisha kama alijeruhiwa kabla hajanyongwa?. Nanusu harufu ovu.
Pia soma > Mkurugenzi wa Mashitaka aidhinisha Mashitaka ya Mauaji ya kukusudia kwa Viongozi wa Chadema dhidi ya kada wa CCM
NOTE:
Siungi mkono mauwaji au muuwaji wa aina yeyote yule, napia ningependa wauwaji wa MAWAZO waliomkata mapanga kule GEITA wangekamatwa haraka, pia waliomtisha ben Saanane na akaweka number hadharani wangekamatwa na kuhojiwa tujue uhusika wao, pia sipendi kwa namna yeyote ile watu wabambikiwe kesi.
Kwani nani asie jua dj ndio alitaka kumuuwa lisu? Aliemuuwa chacha wangwe pia humjui?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dhulma imetamalaki hata hiyo damu ilyobaki inaweza ikadhulumiwa pia....DNA ikaonyesha ni ya marehemuHiyo damu ipimwe DNA kudhibitisha
Hili ni swali ambalo kila mwenye akili timamu anapaswa kujiuliza.
DPP kathibitisha kulingana na ushahidi aliopelekewa kutoka police, kuwa marehemu alikufa kwa kunyongwa kule Iringa, ambae alikuwa kada wa CCM na mgombea udiwani 2020. Suali nikwamba.
"Kama marehemu alinyongwa, na akafariki kwa kukosa hewa, Je fulana ya CDM iliyopatikana ikiwa na damu ambayo inasemakena alivaa muuwaji na imepatikana nyumbani kwa muuwaji, hiyo damu imetoka wapi?." Au Marehem alijeruhiwa kwanza ndio akanyongwa?.
Nakama alijeruhiwa kwa nini ameeleza maelezo mengi lkn hujatuhabarisha kama alijeruhiwa kabla hajanyongwa?. Nanusu harufu ovu.
Pia soma > Mkurugenzi wa Mashitaka aidhinisha Mashitaka ya Mauaji ya kukusudia kwa Viongozi wa Chadema dhidi ya kada wa CCM
NOTE:
Siungi mkono mauwaji au muuwaji wa aina yeyote yule, napia ningependa wauwaji wa MAWAZO waliomkata mapanga kule GEITA wangekamatwa haraka, pia waliomtisha ben Saanane na akaweka number hadharani wangekamatwa na kuhojiwa tujue uhusika wao, pia sipendi kwa namna yeyote ile watu wabambikiwe kesi.