Tumeona watu wanaoana au wanatafuta majini kuwa wake/waume/wachumba zao. hoja yangu kubwa ipo kwenye tendo la ndoa.
Je, majini nayo huwa yanahisi utamu au raha kufanya mapenzi na binadamu? au yanamridhisha tu binadamu?
sina mpango nayo ila nayatafuta maarifa.
Ahsante