Swali kuhusu kozi hizi za IT

Swali kuhusu kozi hizi za IT

Klaus9

Member
Joined
Jul 11, 2019
Posts
25
Reaction score
5
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE

NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
 
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE

NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
Mi naona hiyo ya mwanzoni ndio nzuri
 
Tofauti zake unazijua?
Tofauti ipo, hiyo ya juu ndio nzuri zaidi maana utajifunza na mambo ya software engineering Hata kujiajiri utaweza pia soko la ajira litakuwa kipaumbele sana tofauti na yule aliyosoma computer science tu.
 
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE

NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
Hiyo ni kozi inatolewa ruaha kama sikosei, kwanza haina uhusiano na engineering. Kama unataka kuwa injinia nenda kasome ile ya udom.
 
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE

NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
Tofuati ya kwanza Computer ngineering ni miaka 4, na computer science ni miaka 3.ila kwenye soko la ajira wanafanya kazi moja.
 
Hivi kuna to fauti gani kati ya kozi zifuatazo.... BACHELOR OF SCIENCE IN COMPUTER SCIENCE IN SOFTWARE ENGINEERING NA BACHELOR OF COMPUTER SCIENCE

NA IPI KATI YA HIZO NI BORA ZAIDI
siku nyengine kabla hujauliza kitu jaribu kuserch Threads zilizopita kwanza.
 
Tofuati ya kwanza Computer ngineering ni miaka 4, na computer science ni miaka 3.ila kwenye soko la ajira wanafanya kazi moja.

Inategemea ni ajira gani Mkuu....Computer engineering anaweza kufanya electronics au automation lakini computer science no..
 
Hapa naongelea SOFTWARE ENGINEERING kaka
Inategemea ni ajira gani Mkuu....Computer engineering anaweza kufanya electronics au automation lakini computer science no..
 
Back
Top Bottom