SHUBILA S SHUBILA Member Joined Feb 9, 2015 Posts 12 Reaction score 4 Feb 24, 2016 #1 Naomba kuuliza juu ya kilimo cha karoti,strawbelly na pilipili hoho. Niko Iringa, naomba msaada wenu.
Naomba kuuliza juu ya kilimo cha karoti,strawbelly na pilipili hoho. Niko Iringa, naomba msaada wenu.
Hornet JF-Expert Member Joined Apr 29, 2013 Posts 26,845 Reaction score 52,254 Feb 24, 2016 #2 duh undishi wako hatari, naweza kusaidia hapo kwenye pilipili hoho, unahitaji kufahamu nini zaidi? gharama? maandalizi? namna ya kupanda soko au?
duh undishi wako hatari, naweza kusaidia hapo kwenye pilipili hoho, unahitaji kufahamu nini zaidi? gharama? maandalizi? namna ya kupanda soko au?
SHUBILA S SHUBILA Member Joined Feb 9, 2015 Posts 12 Reaction score 4 Feb 26, 2016 Thread starter #3 Ndg HORNET shida yangu ni maandalizi gharama za kuendesha kilimo kwa kuanzia pamoja Na namna ya kupanda.nashukuru
Ndg HORNET shida yangu ni maandalizi gharama za kuendesha kilimo kwa kuanzia pamoja Na namna ya kupanda.nashukuru