Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Habar wana jf
eti ni kweli kuwa mtu yoyote anayepitia jkt ni lazima apimwe ukimwi?na jee akikutwa nao inakuaje?
eti ni kweli kuwa mtu yoyote anayepitia jkt ni lazima apimwe ukimwi?na jee akikutwa nao inakuaje?