Lazam Emanuel
Member
- May 8, 2014
- 7
- 0
Wana jf naombeni msaada wenu ivi barua za maombi ya kazi zilizotangazwa na jeshi la magereza inatakiwa kutype au kuandika kwa mkono. Nauliza ivi mana hawa waajiri huwa wanatafuta sababu zisizo na msingi
Vipi mkuu, washatoa nafasi?