Swali: Jee Waziri Anaweza Kutamka Neno "Serikali Yangu" na Akawa Right?!.

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
53,740
121,792
Wanabodi,

Katika kujibu maswali ya wabunge kwenye kipindi cha mwaswali na majibu bungeni leo nimemsikia Naibu Waziri wa Elimu, Eng. Stella Manyanya akijibu swali la mbunge fulani kwa kiburi na jeuri na kutamka neno "Serikali Yangu!".

Hivi waziri anaweza kutamka hivyo akiwa ndani ya bunge na ikawa ni sawa tuu?!.

Kwa maoni yangu, mtu mwenye uwezo wa kutamka neno "serikali yangu" ni mtu mmoja tuu, Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, yeye ndie mwenye serikali!. Wengine wote ni "serikali yetu", au serikali ya chama cha mapinduzi!.

NB. Angalieni msi confuse neno "serikali yangu" na neno "chama changu"!, mwanachama yoyote anaweza kutamka neno "chama changu", au "chama chetu" popote lakini sio "serikali yangu!".

Wataalamu wa lunga ya Kiswahili, naombeni msaada kwenye hili!.

Jee Wazii anaweza kutamka maneno "serikali yangu" na akawa yuko right?!.

Pasco.
 
Wanabodi,

Katika kujibu maswali ya wabunge kwenye kipindi cha mwaswali na majibu bungeni leo nimemsikia Naibu Waziri wa Elimu, Eng. Stella Manyanya akijibu swali la mbunge fulani kwa kiburi na jeuri na kutamka neno "Serikali Yangu!".

Hivi waziri anaweza kutamka hivyo akiwa ndani ya bunge na ikawa ni sawa tuu?!.

Kwa maoni yangu, mtu mwenye uwezo wa kutamka neno "serikali yangu" ni mtu mmoja tuu, Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, yeye ndie mwenye serikali!. Wengine wote ni "serikali yetu", au serikali ya chama cha mapinduzi!.

NB. Angalieni msi confuse neno "serikali yangu" na neno "chama changu"!, mwanachama yoyote anaweza kutamka neno "chama changu", au "chama chetu" popote lakini sio "serikali yangu!".

Wataalamu wa lunga ya Kiswahili, naombeni msaada kwenye hili!.

Jee Wazii anaweza kutamka maneno "serikali yangu" na akawa yuko right?!.

Pasco.


Tatizo unatafsiri Kiingereza kwenda Kiswahili na haupaswi kufanya hivyo, kiingereza hauwezi kusema hivyo lakin kikwetu unaweza kusema Serikali yangu na hamna tatizo lolote na ndiyo maana ni wewe peke yako labda uliyeshtuka kwa maana wenzako wote ni Waswahili na tunaelewa!

Acha kufwata Wazungu sana, Kiswahili siyo Kiingeraza na hakiwezi kuwa!
 
Wanabodi,

Katika kujibu maswali ya wabunge kwenye kipindi cha mwaswali na majibu bungeni leo nimemsikia Naibu Waziri wa Elimu, Eng. Stella Manyanya akijibu swali la mbunge fulani kwa kiburi na jeuri na kutamka neno "Serikali Yangu!".

Hivi waziri anaweza kutamka hivyo akiwa ndani ya bunge na ikawa ni sawa tuu?!.

Kwa maoni yangu, mtu mwenye uwezo wa kutamka neno "serikali yangu" ni mtu mmoja tuu, Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, yeye ndie mwenye serikali!. Wengine wote ni "serikali yetu", au serikali ya chama cha mapinduzi!.

NB. Angalieni msi confuse neno "serikali yangu" na neno "chama changu"!, mwanachama yoyote anaweza kutamka neno "chama changu", au "chama chetu" popote lakini sio "serikali yangu!".

Wataalamu wa lunga ya Kiswahili, naombeni msaada kwenye hili!.

Jee Wazii anaweza kutamka maneno "serikali yangu" na akawa yuko right?!.

Pasco.
Na nfiyo kazi mliyobakiza peke yake baada ya kuzibwa midomo koote
Kutafuta kasoro za nguvu na sijui kwa faida ya nani
BTW kiburi ktk kutamka hivyo unakipimaje we Pasco??? Kwa nn ww ndo tusikuulize kuwa unaumia kwa vile kajibu swali ipasavyo ukakosa hoja? ?,
Mtakalia kuokoteza okoteza vitu vidogovidogo hivyo huku wenzenu wakiendelea kutekeleza HAPA KAZI TU...Wewe ukibako na TAFUTIZA VIKASORO TU..What a shame! !!!
 
Tatizo unatafsiri Kiingereza kwenda Kiswahili na haupaswi kufanya hivyo, kiingereza hauwezi kusema hivyo lakin kikwetu unaweza kusema Serikali yangu na hamna tatizo lolote na ndiyo maana ni wewe peke yako labda uliyeshtuka kwa maana wenzako wote ni Waswahili na tunaelewa!

Acha kufwata Wazungu sana, Kiswahili siyo Kiingeraza na hakiwezi kuwa!
Ifike mahali patumike akili kidogo hata ile ya kuingilia washroom,kwani hapo imetumika lugha ya kizungu?mbona watu wanajitoa ufahamu kupindukia?
 
Ifike mahali patumike akili kidogo hata ile ya kuingilia washroom,kwani hapo imetumika lugha ya kizungu?mbona watu wanajitoa ufahamu kupindukia?


Nafikiri wewe ndiyo unahitaji utumie akili kodogo kwa kujaribu kwanza kusoma vizuri na kuelewa kilichaondikwa kabla ya kukimbilia kujibu na kuhukumu hata usichokielewa!
 
's
Wanabodi,

Katika kujibu maswali ya wabunge kwenye kipindi cha mwaswali na majibu bungeni leo nimemsikia Naibu Waziri wa Elimu, Eng. Stella Manyanya akijibu swali la mbunge fulani kwa kiburi na jeuri na kutamka neno "Serikali Yangu!".

Hivi waziri anaweza kutamka hivyo akiwa ndani ya bunge na ikawa ni sawa tuu?!.

Kwa maoni yangu, mtu mwenye uwezo wa kutamka neno "serikali yangu" ni mtu mmoja tuu, Rais wa JMT, Dr. John Pombe Magufuli, yeye ndie mwenye serikali!. Wengine wote ni "serikali yetu", au serikali ya chama cha mapinduzi!.

NB. Angalieni msi confuse neno "serikali yangu" na neno "chama changu"!, mwanachama yoyote anaweza kutamka neno "chama changu", au "chama chetu" popote lakini sio "serikali yangu!".

Wataalamu wa lunga ya Kiswahili, naombeni msaada kwenye hili!.

Jee Wazii anaweza kutamka maneno "serikali yangu" na akawa yuko right?!.

Pasco.
Awali ya yote hakuna kitu kinaitwa 'lunga' pengine ulimananisha 'lugha'. Jibu la swali lako ni kuwa je, ukisema 'Tanzania yangu' utakuwa sahihi????. Au kama unatoka Mtwara au mkoa mwingine wowote ukisema 'mkoa wangu' utakuwa sahihi???? Au ukisema 'serikali yetu' au 'mkoa wetu' au 'nchi yetu' utakuwa sahihi???????? Further to that jibu linategemea wewe mwenyewe uko wapi na unafanya nini. Kwa mfano uko ulaya let's say Ufaransa you are presenting a paper in defense of your country and of course your government. Ukisema 'serikali yangu' utakuwa umepatia au umekosea?????????? tafakari mwenyewe...Ndiyo maana ya GREAT THINKERS
 
Ni dhana moja tu inabeba kauli hiyo... Ni sawa tu na kusema nchi yangu.. Mungu wangu au Mkoa wangu....

Hivyo ni vitu ambavyo umiliki wake hauna mipaka au kuwa wa MTU binafsi...

Hata Magufuli binafsi hawezi sema serikali ni yake yeye laa yeye ni kiongozi wa serikali...

Kwa Stella Manyanya hakukosea chochote kusema serikali yake....
 
Mzee Rufiji,

Kama watanzania hatukuwa tayari kwa mfumo wa vyama vingi, isipokuwa kwa pressure ya International Finance Institutions, na kwa kwa kuwa Katiba bado ina kasoro kuhusu maelekezi ya uchaguzi mbali mbali then
1.UPINZANI HAKUNA BALI NI KIVULI
2.KWA KUWA UPINZANI NI KIVULI NDIO MAANA HATA HOJA YA KUSUSIA UCHAGUZI KUTOKANA NA KATIBA MBOVU KWAO NI MWIKO, kwani ni kama hawaioni. Kama Katiba ni mbovu kwa nini ushiriki ktk uchaguzi nahali ukijua utashindwa!!!!!

Kuna wakati Mzee Rufiji umeongea jambo la BUSARA na kama Upinzani wanaliona hilo basi leo tungekuwa tunasema maneno mengine. Uliwashauri wapinzani wasimamie issue ambazo siku zote zitawafanya CCM wawe kwenye defensive side, Issue ziko nyingi sana za kukifanya chama tawala kihahe huku na kule kujitetea (moja wapo ni issue za vitega uchumi vya wananchi, Mikataba FEKI nk nk. Still hilo HAWALIONI KWANI WAO NI VIVULI. naweza kusema nchini kwetu kuna "GHOST" la upinzani na wala hakuna upinzani wa kweli.

Sherrif kurudishiwa marupurupu tu, kimyaaaaaa, wengine ndio duuuhh kila mara kugombana na Tendwa
Wapi imesemwa kiingereza?
 
Back
Top Bottom