92mtl
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 461
- 308
wana jamvi naombeni msaada wa haraka kwa anae jua vizur magonjwa ya KUKU kwa dall nitazo weka ushauri na tiba za kisasa au kienyeji
dalili
1:hana guvu miguu yote na vidore vina jifunga hawez kusimama
2:Uharo mweupe wenye maji maji
3:njia ya haja kubwa INA cheza kufunga na kufunguka
4:hali hanywi
dalili
1:hana guvu miguu yote na vidore vina jifunga hawez kusimama
2:Uharo mweupe wenye maji maji
3:njia ya haja kubwa INA cheza kufunga na kufunguka
4:hali hanywi