Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Nyie mna bongo maji kweli. Akammalize kwa kipi? Au umesahau msaada mkubwa ulitoka Dodoma tena hospital ya serikali? Ingekuwa ni kqmq mnqvyowaza si ingefanyika hapa hapa Dodoma? Jaribuni kutuliza akili zenu jamani mnatia aibu. Hata kama mnalipwa kuchafua serikali basi naona kama wanawalipa hela za bure maana kwa hili mmechemka sana. Kapata ajali kama ajali zingineKumbe ni kweli ni askari wa usalama wa taifa hahaha umeona eeeh, intelligence ya chadema imefanya kazi nzuri sana. Huyo askari ni kweli alitumwa kwa kazi maalumu tu kummaliza lissu sema kastukiwa
Kama anawatambua huyo Dereva wa Lissu kilichomkimbizia mafichoni ni nini? Kama kina sie mtu anakutishia tu kingumi unakwenda kuchukua RB why not wao? Hapa kuna jambo limejificha hapa. CDM mtatuambia tu siku moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Washambuliaji ni walewale waliowahi kutajwa na Tundu Lissu, wametajwa na Dereva Wa Lissu ambaye anasema hadi anawafahamu kwa sura kwani amekutana nao Mara kadhaaa ( ingekuwa wanakamatika na kuna Wa kuwakamata kwa sasa wangekuwa mikono salama kwa ajili ya uchunguzi
Washambuliaji wamewahi kulipotiwa na Nape Nauye wakimfuatilia.
Mlisikia kukamatwa kwao? Leo hii ukiandika hata kwa utani mtandaoni kuwa Shaka au Jokate nitakupiga Kofi tukitukutana, hata kama utakuwa nchi ya mbali utatafutwa ikibidi kwa kutumia Polisi Wa kimataifa. Iweje hawa wengine?
Wauaji wanajulikana je nani Wa kuwakamata?