Swali Fikirishi: Vipi ikitokea pale 2025 Majaliwa akawa Rais na akamteua Magufuli kuwa Waziri Mkuu?

Atakayefuata baada ya yeye ni mwanaye. A.K.A. Mungu wa Darisalama. Hapo mbna mtaimba na kusifu.
Anayefuata ni muislamu. Chunguza vijana km Hussein bashe, kassim majariwa na Suleiman jafo. Tutafutane 2025 mmoja wapo atakuwa presidential candidate. Hao wawili wa kwanza ni team ya lowassa na Rostam. Huyo maliamungu wa Dar Es salaam hawezi kupata bcoz mtu wake ni jasusi kutoka Jimbo la mtama.
 
umeeleza vzri sana mkuu, vpi ikipelekwa bungeni hiyo ibara ikafanyiwa marekebisho?
Waziri mkuu ( kwa katiba ya sasa ) lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na wananchi, sio viti maalumu so kwa mhe raisi wa sasa hilo halitawezekana cause hawezi kugombea nafasi ya ubunge ilihali bado ni raisi wa nchi, remember ataacha kua raisi tu pale ambapo mgombea wa urais kwenye hizo kampeni za mwaka 2025 ( kama kutakua na uchaguzi lakini ) atakapo tangazwa na tume ya uchaguzi ya wakati huo plus kua ameisha apishwa so kipindi hicho chote bado mhe Magufuli atakua bado yupo Ikulu kama rais
 
hebu tufikirie nje ya box, ikitokea make katiba inabadilishwa, unauonaje huo urais wa Majaliwa chini ya Magufuli kama Waziri Mkuu, atakubali kupewa maagizo muda wote na Majaliwa?
Waziri mkuu ( kwa katiba ya sasa ) lazima awe mbunge wa kuchaguliwa na wananchi, sio viti maalumu so kwa mhe raisi wa sasa hilo halitawezekana cause hawezi kugombea nafasi ya ubunge ilihali bado ni raisi wa nchi, remember ataacha kua raisi tu pale ambapo mgombea wa urais kwenye hizo kampeni za mwaka 2025 ( kama kutakua na uchaguzi lakini ) atakapo tangazwa na tume ya uchaguzi ya wakati huo plus kua ameisha apishwa so kipindi hicho chote bado mhe Magufuli atakua bado yupo Ikulu kama rais
 
kweli wewe ni washa washa, watu tunsongelea 2025 wewe unaongelea 2020, huyo Membe wako kamwanzishie chama chako, we unafikir kwa ccm ana chake tena? mwenyewe ameshadai anachonganishwa umebaki mwenyewe hapo.w au una Membe mwingine?
Hilo halitotokea 2020 twende na Membe
Nalog off
 
kweli wewe ni washa washa, watu tunsongelea 2025 wewe unaongelea 2020, huyo Membe wako kamwanzishie chama chako, we unafikir kwa ccm ana chake tena? mwenyewe ameshadai anachonganishwa umebaki mwenyewe hapo.w au una Membe mwingine?
Na wewe kama unampenda magufuli na majaliwa hiyo 2025 wape uongozi kwenye familia yako,Watanzania tuko zaidi ya 50M sasa kwanini unataka waendelee kwa miaka zaidi ya hiyo,2025 wawe wamefanya mazuri au mabaya wanatakiwa wapumzike na kuwaachia wengine.
Nalog off
 
Hii ni system aliyoifanya Putin kule Urusi. Vipi ikitokea hapa kwetu pia, hawa jamaa wakapokezana hicho kijiti? Magufuli Waziri Mkuu, Majaliwa Rais? Labda niulize wale wajuzi wa sheria kama itakuwa inaruhusu? na kama hairuhusu ikafanyiwa marekebisho, hii itakuwaje? Sipati picha pale ambapo namuona Rais Magufuli akipata maagizo kutoka kwa Majaliwa.
Ikitokea hivyo Majaliwa atapindua meza na anaweza kumfunga Jiwe.
 
Bora ungewaza kuwa itakuwaje pale 2025 Maguful atakapobadilisha katiba aendelee kuwa Rais na amteue tena Majaliwa.
Magufuli hana sifa za kuwa Putini, yeye kwake kuwa Rais wa Tanzania ndio suluhisho la matatizo japo hajasuluhisha zaid ya kulididmiza Taifa.
Na Majaliwa uwaziri Mkuu wake unaisha 2020...Sidhani kwa siasa za Magu kama Majaliwa atateuliwa tena u PM
 
Haina haja ya kumnanga,ungemwelimisha tu
Mkuu umejiunga na jamii forums lini? Au upo kwenye mafunzo ya kutumia jamii forum na umeona uanze kuweka thread baada ya kuiva kwenye kulike na kureply.
Hii mada yako haina kichwa wala miguu na Sijui umetumia akili ya kwenye kiuongo gani kuleta hii mada mkuu.
 
una ubavu wa kugombea, au wa kushindia hapa jf, nyie ndo huwa hampigi hata kura, sina mahaba naye ni waxo nimetoa na haya nimembomu kwa kupenda kujimwambafayi, je anaweza akafanya kazi chini ya mtu mwingine?
Na wewe kama unampenda magufuli na majaliwa hiyo 2025 wape uongozi kwenye familia yako,Watanzania tuko zaidi ya 50M sasa kwanini unataka waendelee kwa miaka zaidi ya hiyo,2025 wawe wamefanya mazuri au mabaya wanatakiwa wapumzike na kuwaachia wengine.
Nalog off
 
kwa nini great thinker kama wewe unawrza kuchangia kwenye uxi wa mpumbavu, mi na wewe nani mpumbavu, ambye unataka akili yangu isiwaze, ambaye unaona kila siku viongozi wa kiafrika wanabadili katiba kuendelea na uroho wa madaraka, after all hukuelewa mada yangu, pole sana, mada yangu ipo misitari ya mwisho, je magufuli anavyopenda kujimwa....atakubali kupokea maelekezo muda wote toka kwa Majaliwa. uwe unaacha matusi.
Mueleweshe tu atakuelewa. Labda kama hataki makusudi. Mtu moja alisema " You can wake up a person who is sleeping but it is very difficult to wake up a person who is pretending to be sleeping". Mwisho wa kunukuu!!!!
 
una ubavu wa kugombea, au wa kushindia hapa jf, nyie ndo huwa hampigi hata kura, sina mahaba naye ni waxo nimetoa na haya nimembomu kwa kupenda kujimwambafayi, je anaweza akafanya kazi chini ya mtu mwingine?
Sawa nimekusoma mkuu,atajisahau na kumpa amri Rais,mi ni mpigaji kura mzuri tu.
Nalog off
 
Mueleweshe tu atakuelewa. Labda kama hataki makusudi. Mtu moja alisema " You can wake up a person who is sleeping but it is very difficult to wake up a person who is pretending to be sleeping". Mwisho wa kunukuu!!!!
ahsante mkuu...nimekupigia salute.
 
hapo umevuka miko ya jukwaa hili mkuu, mbna ni kuelekezana tu bila matusi mkuu, mada yangu kwa ukubwa inahusu je kwa kuoenda kujimwambafayi, je ayakubali kuwa chini ya mtu mwingine, ikiwezekana katiba ikabadilishwa na yeye akapewa uwazir mkuu, je atakubali kuwa chini ya Majaliwa?
Mkuu sijatumia tusi lolote, na pia Rais kuwa waziri mkuu inawezekana kwa sababu katiba haikushushwa na Mungu.
 
Hii ni system aliyoifanya Putin kule Urusi. Vipi ikitokea hapa kwetu pia, hawa jamaa wakapokezana hicho kijiti? Magufuli Waziri Mkuu, Majaliwa Rais? Labda niulize wale wajuzi wa sheria kama itakuwa inaruhusu? na kama hairuhusu ikafanyiwa marekebisho, hii itakuwaje? Sipati picha pale ambapo namuona Rais Magufuli akipata maagizo kutoka kwa Majaliwa.

Hilo haliwezekani kutokea
 
Back
Top Bottom