Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,379
- 2,533
Amani iwe kwenu wakuu ni majuzi tu CCM imepata mwenyekiti mpya ambaye pia ni rais wa Tanzania Mh Magufuli moja ya sehemu ya hotuba yake alimsifu mwenyekiti aliyemaliza muda wake prof.JK kuwa ni mvumilivu sana kwani ingekuwa yeye ndiye mwenyekiti halafu watu waimbe wanaimani na mtu fulani basi wale wajumbe walioimba wanaimani na mtu fulani wangeondoka wote!
Ndugu rais mbona Majaliwa aliimba ana imani na Lowassa lakini umemchagua kuwa waziri mkuu wako?
Ndugu rais mbona Majaliwa aliimba ana imani na Lowassa lakini umemchagua kuwa waziri mkuu wako?