cerengeti
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 3,878
- 1,622
Mkwava alikuwa na maslahi na waarabu kwenye mambo yafutayo:-
1. Silaha na Mafunzo
2. Biashara ya pembe za ndovu
3. Biashara ya nguo
4. Dini.
5. Kodii
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Silaha na Mafunzo
2. Biashara ya pembe za ndovu
3. Biashara ya nguo
4. Dini.
5. Kodii
Mlimdharau Mkwawa nilipopata historia yake ya kweli ambayo haijaandikwa
Kumbe alikuwa anatumiwa na waarabu ili kumpinga Mjerumani
Jamaa alikuwa anawakamata watumwa kutoka makabila mengine na kuwauzia waarabu
Alikuwa anapewa zawadi ya kanzu na waarabu anaridhika
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app